Kuna watu wanatembea na mizigo mizito kichwani ukipata nafasi wasikilize

Hii ni hadithi ya kutunga au ni kweli ilitokea?
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Hata kama hapelekewi moto ndiyo achukue Mme wa mwanaye? Embu waza kwa sauti ya chini !
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Nadhani sasa tunaelekea mwisho wa hii Dunia!! Hakuna ubinadamu tena bali ni unyama tu! How can a sane human being commit such a heinous act? Nimesoma mpaka mwili umesisimka.
Haya mambo tokea kitambo sana yalitokea dunia ina mambo yake paliko na wengi pana mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…