Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

 
Ndio hapo sasa ujiulize walikuwa hawaabudu??kama walikuwa wanaabudu ndipo humo Yesu aliingia kuabudu nao.
Wapi humo ona Yesu alipo kua akiingia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Luka 6:6

Ikawa siku nyingine ya Sabato, Yesu aliingia ndani ya sinagogi na akawa anafundisha.

Aya twambie nani wewe kakuongopea kaingia kanisani



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 

We jamaa ni kalio sana[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimekwambia wapi aliingiza kanisanai??umeelewa hata ulichonukuu kweli??
 
maandika yako mengi nikitoa utakimbia uzi, tunyukane bila maandiko inatosha

Andiko kwa hawa kunguni la nini??hawa hawako kujifunza unaua kwa kubabua na ndala tu,paaa paaaa paaaa.
 
Elimu, elimu, elimu.. Uislam umesisitiza hili, aya ya kwanza kushuka ni kuhusu elimu. Anajua umuhimu wa elimu.
Sisi tunapenda dini kwa kuisikia sikia na sio kuisoma, mwishowe unapelekwa siko na watu wenye malengo yao tofauti duniani
 
hawa unaowatolea mifano mibovu ni waliopotoka, hawa hawakuijua kweli walisombwa na kila upepo unaovuma. Hawa si wakristo ni wapotokaji na walipaswa kuhurumiwa kwa kutekwa na mafundisho feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…