B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Daaah walah huu upuuzi nakuroga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo mshamba sasaDuuuh Jamaa mzembe sana ,hadi wanafungua matairi yaani amelala? Au walimpiga gesi ya chlorine?
Nakuja na bullet tu imefungwa kiwambwo cha silencer mchezo umeishaYaan matukio haya ndio yananifanya niongeze Germany Shepherd nyumbani acha niingie gharama za kuwalisha
Hauna gari wanakikao kufanya nini kwako??Sawa mkuu ila sehemu nayokaa mie ,majirani wenzangu wanaibiwa lakini mimi huwa sijawahi kuibiwa,labda wanajua kwamba sio mlalavi maana mimi nimewahi sana kulala saa nane usiku na kuamka nimechelewa sana saa kumi na mbili na nusu,kwahiyo wanahisi huyu mwamba ukigusa dirisha tu kashastuka ndio maana hawapotezi muda kuja kwangu.
Ikoje hio jeki? Naomba pichamkuu kuna jeki ya kukanyaga na mguu ile dakika sifuri tu
Nipe tender mkuu nikuletee walinzi.Mimi mnamo tar 18/04/2021 juzi kati hapa kidogo niwe muhanga. Nilisafiri nikaacha gari aina discovery 4 nyumbani Mbezi beach, naishi na kijana mmoja wa kimalawi kanipigia simu saa 8 usiku wameingia vijana wa3 dogo kapambana nao wakakimbia ikabidi dogo alale kwenye gari wakarudi tena saa 10 aisee huu Wizi umerudi tena Vyombo Vya ulinzi inabidi vichukue hatua haraka tulishasahau haya mambo kitambo sana
Nipe tender mkuu nikuletee walinzi.
Zile mashine zinapiga kelele. Lazima angesikiaJerk zipo kubwa dakika 2 tu ushanyenyua gari nzma.
Nuts kuna zile mashine za kufungulia nut
Ikawaje mkuu.Kuna jamaa alikuwa na mbwa watano ndani ya geti. Ukuta una waya za umeme na alarm. Sijui waliwafanya nini mbwa wakalewa wote. Alarm haikulia na nyaya za umeme hazikufanya kazi wakaruka ukuta wakaingia ndani. Bahati nzuri sana jamaa akwasikia walipokuwa wanafungua geti ili watoe magari
Sio mchezo. ni hatari kubwaHatari Hatari Hatari!
Mang'ang'a ni nini mkuuDawa ni kufuga ma ng’ang’a tu
Nimekuja mkuu karibu sanaNjoo Pm
Itungwe Sheria baada ya vibaka kuiba vifaa kwenye hizo IST mbili?Masoko yao sio kificho na serikali ikitaka kudhibiti ni rahisi tu! Ni kuweka utaratibu wa manunuzi ambao ni rahisi kufatilia hata kama ni maduka bubu. Kuna biashara hazina control kabisa na sababu pia kuwa zipo level ya local authorities!
Inabidi itungwe sheria maalum kwaajili ya udhibiti wa biashara kama hizi bila kuathiri wanaofanya kihalali.
Wewe ndo mshamba sasa
Hauna gari wanakikao kufanya nini kwako??