Kuna wizi wa vifaa vya magari maeneo ya Goba, Mbezi na Temeke

Kuna wizi wa vifaa vya magari maeneo ya Goba, Mbezi na Temeke

goba alikamatwa mmoja akataja mpaka wanapouza....kilichompata hatosahau maisha yake yote.....inauma sana...alitobolewa jicho 1, mikono yote vipande.....polisi wakabe....wakasema tuachieni kukamalizane na mnunuzi...... 😡 😡
 
Mimi mnamo tar 18/04/2021 juzi kati hapa kidogo niwe muhanga. Nilisafiri nikaacha gari aina discovery 4 nyumbani Mbezi beach, naishi na kijana mmoja wa kimalawi kanipigia simu saa 8 usiku wameingia vijana wa3 dogo kapambana nao wakakimbia ikabidi dogo alale kwenye gari wakarudi tena saa 10 aisee huu Wizi umerudi tena Vyombo Vya ulinzi inabidi vichukue hatua haraka tulishasahau haya mambo kitambo sana
 
Sawa mkuu ila sehemu nayokaa mie ,majirani wenzangu wanaibiwa lakini mimi huwa sijawahi kuibiwa,labda wanajua kwamba sio mlalavi maana mimi nimewahi sana kulala saa nane usiku na kuamka nimechelewa sana saa kumi na mbili na nusu,kwahiyo wanahisi huyu mwamba ukigusa dirisha tu kashastuka ndio maana hawapotezi muda kuja kwangu.
Hauna gari wanakikao kufanya nini kwako??
 
Mimi mnamo tar 18/04/2021 juzi kati hapa kidogo niwe muhanga. Nilisafiri nikaacha gari aina discovery 4 nyumbani Mbezi beach, naishi na kijana mmoja wa kimalawi kanipigia simu saa 8 usiku wameingia vijana wa3 dogo kapambana nao wakakimbia ikabidi dogo alale kwenye gari wakarudi tena saa 10 aisee huu Wizi umerudi tena Vyombo Vya ulinzi inabidi vichukue hatua haraka tulishasahau haya mambo kitambo sana
Nipe tender mkuu nikuletee walinzi.
 
Kuna jamaa alikuwa na mbwa watano ndani ya geti. Ukuta una waya za umeme na alarm. Sijui waliwafanya nini mbwa wakalewa wote. Alarm haikulia na nyaya za umeme hazikufanya kazi wakaruka ukuta wakaingia ndani. Bahati nzuri sana jamaa akwasikia walipokuwa wanafungua geti ili watoe magari
Ikawaje mkuu.
 
Nikikushika lazima uliwe kiboga, nitakodi hata watu wakushughulikie, ujinga huu!!!
 
Masoko yao sio kificho na serikali ikitaka kudhibiti ni rahisi tu! Ni kuweka utaratibu wa manunuzi ambao ni rahisi kufatilia hata kama ni maduka bubu. Kuna biashara hazina control kabisa na sababu pia kuwa zipo level ya local authorities!

Inabidi itungwe sheria maalum kwaajili ya udhibiti wa biashara kama hizi bila kuathiri wanaofanya kihalali.
Itungwe Sheria baada ya vibaka kuiba vifaa kwenye hizo IST mbili?
 
Kuna jamaa jiran na IST yake ilikuwa tegemeo kwenye mishe za hapa na pale za familia yake, hayo mapopo yameruka gate na kusafisha kila kitu, Gari imebaki skeleton! Hao si watu kabisa!
 
Back
Top Bottom