Kuna wizi wa vifaa vya magari maeneo ya Goba, Mbezi na Temeke

Kuna wizi wa vifaa vya magari maeneo ya Goba, Mbezi na Temeke

Eeeh eeh pale lumumba wote wale ni majambazi, walishaniibia logo ya gari kwenye ule mfuniko wa engine, mfuniko wa windshield siku nimeenda kuweka tint
Tena usijedhubutu kusema unaishi wapi? Watakufatilia hadi home usiku wanakutenda. Ukienda kwa fundi yeyote hasa usiowajua..usitaje unaishi wapi!
 
Ndo tabia ya binadamu. Hana shukrani wala wema. Hajui anachokitaka. Mlimponda hana sifa kuwa RC, hana elimu, vyeti fake. Mkamwita daud bashite. Lakini wachache walimwona ni msaada. Leo mnamkumbuka!
Huyo anayemkumbuka nae atakua fa fa fa fa bashitez
 
Habari wana JF

Kuna wizi mpya wa vifaa vya magari naona umekithiri sana huko maeneo ya Goba, Mbezi, Temeke watu wanaibiwa sana vifaa naomba Ma RC , POLISI N.K walishugulikie hili swala wezi wanajulikana n wanaonunua hivo vifaa vya wizi wanajulikanaa.

View attachment 1759159View attachment 1759160View attachment 1759162View attachment 1759164View attachment 1759167
View attachment 1757830
 
Dah hatari sana hii, fugeni mbwa ni mlinzi mzuri sana.

Huku kwetu hata ulaze nje hakuna uwalifu, mara kama 4 nomesahau gari nje ya geti
 
Masoko yao sio kificho na serikali ikitaka kudhibiti ni rahisi tu! Ni kuweka utaratibu wa manunuzi ambao ni rahisi kufatilia hata kama ni maduka bubu. Kuna biashara hazina control kabisa na sababu pia kuwa zipo level ya local authorities!

Inabidi itungwe sheria maalum kwaajili ya udhibiti wa biashara kama hizi bila kuathiri wanaofanya kihalali.
Mtazamo mziri, bwana Mtazamo. Here in Kenya huwa kuna trail ya paperwork kwa part sellers. This is not strictly enforced lakini. U can sell a car part from home if u got a ready buyer (online), but police huwa wanademand a receipt when they encounter anyone carrying a car part. Theft kama hiyo huhappen here too, mitaa za kipuzi. Mahali security iko low. So as a car owner you choose where you can live and also park your car. Sometimes you have to pay parking boys to ensure that parts are not stolen and also that no other motorists gongas your car.
 
Njia pekee ya kukomesha vitendo vya wizi ktk mitaa au maeneo mbalimbali ktk Mkoa wa DSM ni

1. Kukomesha vijiwe vya wavuta bangi ktk mitaa/ maeneo mbali mbali amabayo kila sehemu yanafahamika hakuna hata haja ya kupeleleza.

Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Viongozi wa serikali za mitaa wanaweza kabisa kufichua maeneo hayo na kuya angamiza, kwani hayo ndio mazalia ya majambazi na magaidi.
 
Back
Top Bottom