Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kina snoopy dogi dogi mzee babaMang'ang'a ni nini mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina snoopy dogi dogi mzee babaMang'ang'a ni nini mkuu
Jamaa kala kichapo ila bado hakijamkolea vizuri halafu bado bikra kabisa huyu! Hana kma hata moja
Tena usijedhubutu kusema unaishi wapi? Watakufatilia hadi home usiku wanakutenda. Ukienda kwa fundi yeyote hasa usiowajua..usitaje unaishi wapi!Eeeh eeh pale lumumba wote wale ni majambazi, walishaniibia logo ya gari kwenye ule mfuniko wa engine, mfuniko wa windshield siku nimeenda kuweka tint
Wee hivi ni serious hivo?Tena usijedhubutu kusema unaishi wapi? Watakufatilia hafi home usiku wanakutenda. Ukienda kwa fundi yeyote hasa usiowajua..usitaje unaishi wapi!
Hela Inatafutwa MkuuWee hivi ni serious hivo?
Huyo anayemkumbuka nae atakua fa fa fa fa bashitezNdo tabia ya binadamu. Hana shukrani wala wema. Hajui anachokitaka. Mlimponda hana sifa kuwa RC, hana elimu, vyeti fake. Mkamwita daud bashite. Lakini wachache walimwona ni msaada. Leo mnamkumbuka!
Habari wana JF
Kuna wizi mpya wa vifaa vya magari naona umekithiri sana huko maeneo ya Goba, Mbezi, Temeke watu wanaibiwa sana vifaa naomba Ma RC , POLISI N.K walishugulikie hili swala wezi wanajulikana n wanaonunua hivo vifaa vya wizi wanajulikanaa.
View attachment 1759159View attachment 1759160View attachment 1759162View attachment 1759164View attachment 1759167Kwako Mkuu wa Mkoa wa Dar (Kesi za Wizi Majumbani Zimeshamiri). Usalama hakuna
Mkuu wa Mkoa wa Dar pamoja na Mambosasa. Hii hari ninayo isikia na kuona mtaani na kila ninapotembelea vituoa vya polisi sio nzuri. Usalama wa raia na mali zoa haupo tena. Watu wanavamiwa mchana, usiku, asubuhi na jioni. Mko wapi? Mfano: Staki shari kuna kesi kibao za watu kuibiwa. Kule...www.jamiiforums.com
View attachment 1757830
unakaa kwa broo kijana wa lumumbaNdio mmoja alileta ujinga wa kupasua vifaa vya bro, risasi 2 zikapita sikioni hakuamini.
Walinunua kila kitu wakarudisha.
Ndio. Nakaa nae, unataka akuoe?unakaa kwa broo kijana wa lumumba
kama wote mna matako makubwa nakujaNdio. Nakaa nae, unataka akuoe?
Mtazamo mziri, bwana Mtazamo. Here in Kenya huwa kuna trail ya paperwork kwa part sellers. This is not strictly enforced lakini. U can sell a car part from home if u got a ready buyer (online), but police huwa wanademand a receipt when they encounter anyone carrying a car part. Theft kama hiyo huhappen here too, mitaa za kipuzi. Mahali security iko low. So as a car owner you choose where you can live and also park your car. Sometimes you have to pay parking boys to ensure that parts are not stolen and also that no other motorists gongas your car.Masoko yao sio kificho na serikali ikitaka kudhibiti ni rahisi tu! Ni kuweka utaratibu wa manunuzi ambao ni rahisi kufatilia hata kama ni maduka bubu. Kuna biashara hazina control kabisa na sababu pia kuwa zipo level ya local authorities!
Inabidi itungwe sheria maalum kwaajili ya udhibiti wa biashara kama hizi bila kuathiri wanaofanya kihalali.