Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bikra wapo kibao. Shida yenu vijana hamtaki kushirikisha wazee pindi mnapotafuta life partner eti ni mambo ya kizamani. Mwisho wa siku unaenda kuangukia kwa makahaba wastaafu na kuwafanya mke.Dah kwahiyo mkuu, single mother hawana haki ya kuolewa? Kipi ni Bora kumchukia single mother na kuona hafai au kumuweka ndani Binti aliyetoa mimba kadhaa, aliekua anatumia P2 n.k?
Basi hapo ni GGKwann unaamini ambae hana mtoto kachoropoa mimba? Kwnn haiwezekani hata huyo singo mumamaz kachoropoa na yy
Mkuu kwan bado uko hapo 🤔? ,Nlitegemea sahv uko mbali sana,Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Sio kweli davinc, hasa kwa wazazi hawa wa mjini ambao wengi wao wanapenda sifa waonekanaje kwa marafiki zao, mfano mzuri ni Mimi, Mother alinitafutia mchumba ambae yeye kwa maono yake anafaa kuolewa, tena kwa sababu anamuona kanisani jinsi anavyojitoa n.k Binti ni mzuri, Mimi kwenye maongezi na huyo binti nikaona hapa hakuna kitu, Binti mjuaji then washikaji wakanambia jinsi ambavyo hajatulia nikapiga chini, basi nikatafuta mchumba mwenyewe kutoka kigoma huko Tena alikua bikra maana Binti kwenye harakati za kunihakikishia hajapigwa ikabidi iwe hivyo, japo sikuitoa nilipompeleka nyumbani wazazi wakamkataa kisa muonekano wake sio mzuri/elimu n.k unaelewa? Kwahiyo kwa wazazi wa sasa sio wazazi woote wanafaa kua washauri kwenye upande huo, ndio maana sasahivi nafanya mambo yangu bila kuwashirikisha kwa lolote.Bikra wapo kibao. Shida yenu vijana hamtaki kushirikisha wazee pindi mnapotafuta life partner eti ni mambo ya kizamani. Mwisho wa siku unaenda kuangukia kwa makahaba wastaafu na kuwafanya mke.
Ukitaka kuoa usitumie akili yako, washirikishe wazoefu yaani wazee. Hao hawatataka uharibikiwe japo pia mapungufu hayakosi.
Shida mnaona wazee hawatawatafutia wanawake kama wale mnaowaona insta na fb. Since they don't regard Tako na Sura nzuri as main point of a Good wife-y
Ukipata niunganishe nioe mkuu, Mimi sijaona mwanamke mzuri ambae hajatulia.Oa, baada ya miaka 2 uje ulie lie hapa kuhusu huyo single mother, wanawake wazuri wasio na watoto wako mitaani, unataka kuoa mke wa mtu mwenye mtoto, sasa oa, akili huna
Jamaa anataka muhuri tu wa MMU lakini kila kitu kashamaliza.Usituchore, mada yako kwa kiasi kikubwa umemsifia huyo single mother...
Wewe ushaamua, ushauri mwingine wowote utaona ni uchawi. Haya Nenda kaoe.
Hakuna mtu ANAYEJIELEWA anaoa au kuacha kuoa kwa Ushauri wa Maneno ya MTANDAONI, kinyume na hapo ni changamsha jamvi.