Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Sio kweli davinc, hasa kwa wazazi hawa wa mjini ambao wengi wao wanapenda sifa waonekanaje kwa marafiki zao, mfano mzuri ni Mimi, Mother alinitafutia mchumba ambae yeye kwa maono yake anafaa kuolewa, tena kwa sababu anamuona kanisani jinsi anavyojitoa n.k Binti ni mzuri, Mimi kwenye maongezi na huyo binti nikaona hapa hakuna kitu, Binti mjuaji then washikaji wakanambia jinsi ambavyo hajatulia nikapiga chini, basi nikatafuta mchumba mwenyewe kutoka kigoma huko Tena alikua bikra maana Binti kwenye harakati za kunihakikishia hajapigwa ikabidi iwe hivyo, japo sikuitoa nilipompeleka nyumbani wazazi wakamkataa kisa muonekano wake sio mzuri/elimu n.k unaelewa? Kwahiyo kwa wazazi wa sasa sio wazazi woote wanafaa kua washauri kwenye upande huo, ndio maana sasahivi nafanya mambo yangu bila kuwashirikisha kwa lolote.
Sio kila mzazi ana busara mkuu. Nasikitika kusema wako ni mmoja wapo.
Btw usitumie wazazi katika swala hilo pitia kwa wajomba au babu kama wapo...
 
Sio kila mzazi ana busara mkuu. Nasikitika kusema wako ni mmoja wapo.
Btw usitumie wazazi katika swala hilo pitia kwa wajomba au babu kama wapo...
Ndio hivyo mkuu, Ili kuhusu huyu single mother nikichakata ubongo wangu vizuri, nikiona kama siwezi kukaa nae itabidi nimchukue tu huyo muha Ambaye sio mzuri kwa muonekano/elimu lakini najua nitakaa nae kwa amani na kuzeeka pamoja, kwa sababu nidhamu yake ipo juu, upole n.k
 
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.

Sizungumzii usingo maza!! Kesi ipo kwenye dini hapo, hiyo ni kero ingine achana nayo kabisa!!
 
Mpe ushauri mtoa mada.
Ndugu yangu aliolewa akiwa na watoto watatu kila mtoto na baba yake kabla mimi sijazaliwa
Sasa hivi ana watoto watano nikimaanisha wawili wa huyu mume aliyemuoa

Ndoa imedumu kabla mimi sijazaliwa mpaka leo, nimejua wale wakubwa watatu sio wa huyu mzee nikiwa tayari ninajitambua.

Hayana Muongozo....!
 
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Waislam wengi hawazingui ndoani!!coz wanajua talaka nje nje na chuma kinaingia kingine!!

Hawa wakristo wengi ndio wana viburi plus feminism!!

We oa usiogope mkuu!!
 
Ndugu yangu aliolewa akiwa na watoto watatu kila mtoto na baba yake kabla mimi sijazaliwa
Sasa hivi ana watoto watano nikimaanisha wawili wa huyu mume aliyemuoa

Ndoa imedumu kabla mimi sijazaliwa mpaka leo, nimejua wale wakubwa watatu sio wa huyu mzee nikiwa tayari ninajitambua.

Hayana Muongozo....!
Unachosema ni kweli.

Tatizo zama hizu watu tumebadilika sana.

Maswala ya kuchepuka na kupasha viporo tumeya-normalize sana.
Hadi imefikia inaonaekana ni kitu cha kawaida.
 
Oa ndugu achana na maneno ya mitandao kuchapiwa ipo tu
Kama ukishindwa kuoa huyo basi tafuta bikra
Kwasababu yeye hana ma ex
Ma ex huendelea kuzagamua wake zenu hata baada ya nyie kuwaoa
Single mama anawezakuwa aliachana vibaya na mzazi mwenzie na hapo alipo hatamani hata kumuona huyo jamaa au anatamani hata afe lakini ana ki ex chake kingine mahali ndiyo kinamfinda na huwezi jua

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Bikra wapo kibao. Shida yenu vijana hamtaki kushirikisha wazee pindi mnapotafuta life partner eti ni mambo ya kizamani. Mwisho wa siku unaenda kuangukia kwa makahaba wastaafu na kuwafanya mke.
Ukitaka kuoa usitumie akili yako, washirikishe wazoefu yaani wazee. Hao hawatataka uharibikiwe japo pia mapungufu hayakosi.

Shida mnaona wazee hawatawatafutia wanawake kama wale mnaowaona insta na fb. Since they don't regard Tako na Sura nzuri as main point of a Good wife-y
sharti la kuoa bikra unalijua? lazima nawe uwe bikra hujawahi kaza watoto wa watu.
 
Back
Top Bottom