Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Unafiki ndio ubinadamuSema washkaji wengi wanafiki kinoma mkiwa humu mnawaponda ila mnawaoa sana mm majamaa zangu wengi waliooa wameanza Moja bila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafiki ndio ubinadamuSema washkaji wengi wanafiki kinoma mkiwa humu mnawaponda ila mnawaoa sana mm majamaa zangu wengi waliooa wameanza Moja bila
Mbaga Jr ahakikishe akikimbia miguu inagusa wapi?Nioe au nikimbie mbio nyingi sana
Acha mawazo potofu hakuna bikra kwa mwanaume. Wayahudi walioa wake wengi tu na kigezo cha mwanamke kuolewa ilikua bikra. Mtume kaoa wanawake kibao na waluikua bikra.. Yeye alikua bikra pia?sharti la kuoa bikra unalijua? lazima nawe uwe bikra hujawahi kaza watoto wa watu.
Nimeamua kurudi nyuma nisuke mpango upya/nijitafakari zaidi.My advice kutokana na trend ya matukio ya hao watu , mpe atleast mwaka mzima, whach her closely, usiruhusu hisia zi override logic otherwise unatapigwa tukio kabambe mbeleni
Oa mwenetu jitwalie mumama wakoUnafiki ndio ubinadamu
Na nyota ya 1 bila nnayo ila kuoa bado sana.Oa mwenetu jitwalie mumama wako
Nyota nzur sana hyoNa nyota ya 1 bila nnayo ila kuoa bado sana.
Follow your inner voice, kweni watu wako ndani ya matamanio yako na unachoona wewe kinakufaa? Hii ni kusumbua watu tu na hizi mada dhaifuNimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Mbaya sana nyota ya mateso baadaeNyota nzur sana hyo
Hii ni faraja unayojipa mwenyewe, yeye wala haangalii hilo mda wa jamaa kutaka tunda ukifika.NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Kwa saiv ni ngumu kusema udate na wadada watatu Kati yao asiwepo singo maza huenda hata siyo nyota bas tu agemates wako wengi wana watotoMbaya sana nyota ya mateso baadae
Wa age yangu wengi tayari na wana kimuhe muhe cha kuhitaji ndoa kwahiyo ukitanguliza hilo tu wanajaa.Kwa saiv ni ngumu kusema udate na wadada watatu Kati yao asiwepo singo maza huenda hata siyo nyota bas tu agemates wako wengi wana watoto
Waache waoane🎶Wa age yangu wengi tayari na wana kimuhe muhe cha kuhitaji ndoa kwahiyo ukitanguliza hilo tu wanajaa.
Naam mkuuWaache waoane🎶
Au kisogoni 😂Haakikishe miguu inagusa mgongoni Wakati wa kukimbia 😂