Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi mambo za kushirikisha dada zako kwenye masuala ya familia yako ni utumwa wa kifikra, kwani huyo mwanamke anaenda kuishi na dada zake au wanaenda kuishi wawili yeye na mkewe?Hadi unaoa mwanamke mwenye mtoto unakua umekosa nini kijana??
Hebu jaribu kumuuliza mama yako au dada zako uone watakujibu nini.
Dada zako hawatakua tayari uoe mwanamke mwenye mtoto.... Japo hawatakulazimisha
Fanya unavyotaka wewe mwenyewe lakini siku ukirudi hapa unalia lia hatukupokei kwasababu umesha nasa tayari ushauri wenyewe unaomba lakini hapo hapo tena unajipa majibu ya kukufariji wewe mwenyewe ila shauri yako kila la kheri. 😂Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Kubali kataa ndugu na wazazi wana athari katika maisha yako ya ndoa. Au huyo mwanamke au mwanaume hutaenda kumtambulisha?? Hawatataka kujua background yake?Hizi mambo za kushirikisha dada zako kwenye masuala ya familia yako ni utumwa wa kifikra, kwani huyo mwanamke anaenda kuishi na dada zake au wanaenda kuishi wawili yeye na mkewe?
Hili ndio jibu kuna wengine wanapasha mpk viporo kabla na baada yakuingia ndoani the best chance awe bikra which is very very rare kwa maisha ya sasaIwe non-single mother,
Iwe single mother,
iwe double mother,
iwe triple mother..
Ndoa inahitaji Roho ngumu, vinginevyo utazikwa mapema. 🤒🤒
Kwani we lengo la kuleta uzi ni lipi?au ulikuwa unatoa taarifa kwamba bwana mi mwenzenu nataka kuoa single mazaMzee wangu ana wake wawili, mke mkubwa kamuoa tayari anae mtoto, lakini mpaka sasa wamezeeka pamoja.
Huwa nashangaa kuona hadi wanawake huwa wanashangaa kuona kijana anaoa single mamaHadi unaoa mwanamke mwenye mtoto unakua umekosa nini kijana??
Hebu jaribu kumuuliza mama yako au dada zako uone watakujibu nini.
Dada zako hawatakua tayari uoe mwanamke mwenye mtoto.... Japo hawatakulazimisha
Si anabadili mkuu, au atakua anabadili kwa sababu ya ndoa sio kwasababu ameijua kweli.
Ila hizo bikra mnazozitaka sindio hizohizo mnazitoa kumbe mnajua mnazitaka baada ya ndoa.Hili ndio jibu kuna wengine wanapasha mpk viporo kabla na baada yakuingia ndoani the best chance awe bikra which is very very rare kwa maisha ya sasa
Wewe ndio umenielewesha mkuu, wengine naona wanapiga blah blah, weww ndio umenipa sababu ya kwanini nisioe single mother Asante.Wengi ni wasumbufu hasa akishaizoea ndoa! Kuizoea ndoa ni pale anajua kuna watoto huwezi kuwaacha, kuna mali mtagawana na atanufaika, kuna bond anayojivunia na akishaimarika hasa katika kipato chake binafsi!! Hakuna rangi utaacha
Afu wengi humu wale wa 2000 watoto wa masingle maza....sema ndo hvyo binadamu tumeumbwa kusahauSema washkaji wengi wanafiki kinoma mkiwa humu mnawaponda ila mnawaoa sana mm majamaa zangu wengi waliooa wameanza Moja bila
Jambo zuri hajamsaliti Mungu.Yupo tayari kusaliti Uislamu halafu ashindwe kukusaliti wewe?Anaacha dini ya Uslamu halafu unamuita Smart?She is completely desperate, Ingia uzame aliemzlisha anakuchora tu.
Kwa jinsi ulivyomtetea hutasikiliza ushauri wewe. Wewe oa tu mkuu. Ukweli ni kwamba wapo wanaooa single maza na wakadumu ila ni 1/10. Shida sio kuachana, shida ni drama za single mother ni tofauti sana na drama na uliyemkuta hana mtoto.Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
kuoa single mother sio tatizoNimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.
Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,
Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?
Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..
NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.
Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Single maza mnawazingua humu tu kitaaa mnawafuga vbya sanaAf
Afu wengi humu wale wa 2000 watoto wa masingle maza....sema ndo hvyo binadamu tumeumbwa kusahau