Kunambi: Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe Wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira

Kunambi: Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe Wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira.

Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi iliyobaki inateua wakurugenzi (local government directors) ni Tanzania peke yake”

Amesema katika nchi nyingine kama vile Afrika Kusini, ni lazima watu wa cheo hicho wanapitia mchakato wa ajira.

Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.

Kunambi amesema kama taifa Watanzania inabili wabadidi fikra.

 
Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira.

Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi iliyobaki inateua wakurugenzi (local government directors) ni Tanzania peke yake”

Amesema katika nchi nyingine kama vile Afrika Kusini, ni lazima watu wa cheo hicho wanapitia mchakato wa ajira.

Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.

Kunambi amesema kama taifa Watanzania inabili wabadidi fikra.

View attachment 2971109
this hapens only where election is loading
 
Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.
Hata mkuu wa majeshi kwa mujibu wa sheria anateuliwa na rais, lakini siamini kama rais anaweza kukubaliwa kumteua koplo kuwa mkuu wa majeshi.

Kinachofanyika kwa sasa ni sawa na kumteua koplo kuwa mkuu wa majeshi, na utaratibu uliozoeleka ambao ilikuwa kumpandisha daraja mmoja wa wakuu wa idara ulikuja kuvurugwa na kikwete.

Kabla ya kikwete wakuu wa idara (hasa maofisa mipango/wachumi) ndio walikuwa na nafasi kubwa kuwa wakurugenzi.

Leo mtu hana uzoefu wa kazi hata miaka miwili unampa ukurugenzi, what do you expect!
 
Ukisema aliyevuruga ni Kikwete unamuonea bure. Aliyevuruga ni mtangulizi wake kwa zile tumbua tumbua zake na kuanza kuweka wateule wasiokuwa na sifa
Hata mkuu wa majeshi kwa mujibu wa sheria anateuliwa na rais, lakini siamini kama rais anaweza kukubaliwa kumteua koplo kuwa mkuu wa majeshi.

Kinachofanyika kwa sasa ni sawa na kumteua koplo kuwa mkuu wa majeshi, na utaratibu uliozoeleka ambao ilikuwa kumpandisha daraja mmoja wa wakuu wa idara ulikuja kuvurugwa na kikwete.

Kabla ya kikwete wakuu wa idara (hasa maofisa mipango/wachumi) ndio walikuwa na nafasi kubwa kuwa wakurugenzi.

Leo mtu hana uzoefu wa kazi hata miaka miwili unampa ukurugenzi, what do you expect!
 
Back
Top Bottom