Kunambi: Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe Wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira

Kunambi: Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe Wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira

Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira.

Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi iliyobaki inateua wakurugenzi (local government directors) ni Tanzania peke yake”

Amesema katika nchi nyingine kama vile Afrika Kusini, ni lazima watu wa cheo hicho wanapitia mchakato wa ajira.

Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.

Kunambi amesema kama taifa Watanzania inabili wabadidi fikra.

Shida mi CCM haitaki hiyo kitu Mkurugenzi akiwa mtumishi wa umma by credentials na asiwe mwanasiasa, matokeo ya uchaguzi yatachakachuliwaje?
 
Tulikubaliana kuwa acha ajaribu akikosea tutamrekebisha kikubwa ajaribu asiwe mwoga hata kama alikuwa DJ huko kitaa anaweza kuwa DC tu
 
Kabisa tena tungepata watu bora sn
Sahihi kabisa Sioni ugumu shida Nini hasa Kwa Nini wasipatikane kwa njia ya kuomba Tena Kwa mkataba Mfano wa miaka mitano mitano kuwa asipo deliver out.Waombe tu .Hawa kuteuliwa Hawa ripoti za CAG zitakuwa zinasumbua Kila mwaka .Waletwe wa kuajiri Kwa mkataba wa miaka mitano mitano
 
Huyu ndiye alichaguliwa kuwa Ded Dom kutoka ccm na kupandishwa kuwa Jiji
Hovyo kabisa kijana huyu
 
Majizi ya CCM hayawezi kukubali sababu wakurugenzi ndio masterminds wa kuiba kura kwa kigezo cha kusimamia uchaguzi.

Jiwe aliwaambia " Nikupe gari na nyumba na bado umtangaze mpinzani' .

Hapo huyo kada ana hoja ila haitotekelezwa .

Hebu ona huu ushenzi uliofanyika 2020 kuuingiza utawala wote huu wa sasa madarakani.
IMG_20201028_173703.jpg
 
Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira.

Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi iliyobaki inateua wakurugenzi (local government directors) ni Tanzania peke yake”

Amesema katika nchi nyingine kama vile Afrika Kusini, ni lazima watu wa cheo hicho wanapitia mchakato wa ajira.

Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.

Kunambi amesema kama taifa Watanzania inabili wabadidi fikra.

Na Jinsi MADED wengi ni vilaza izo interview watafeli wengi
 
Wakiwa nje ya teuzi wanakuwaga na mawazo chanya sana ngoja wapate teuzi sasa unaweza sema wamerogwa.
 
Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira.

Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi iliyobaki inateua wakurugenzi (local government directors) ni Tanzania peke yake”

Amesema katika nchi nyingine kama vile Afrika Kusini, ni lazima watu wa cheo hicho wanapitia mchakato wa ajira.

Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.

Kunambi amesema kama taifa Watanzania inabili wabadidi fikra.

Kwa Tanzania hata wakifanya hivyo haitasaidia.


Ikiwa walimu, madaktari, manesi، wataalamu wa kilimo nk wamegeuka kuwa wanasiasa kwenye maeneo yao ya kazi, watashindwa hao wakurugenzi?


Hoja nzuri ila kwa Tanzania hii sidhani kama itafanya kazi
 
Ni kweli kabisa, kwa US kuna city manager ambaye anafanya kazi kwa malengo aliyopewa na city au town council (madiwani na wananchi) , lazima atimize malengo na anaangaliwa na Council, anaajiriwa tuu hateuliwi na mwanasiasa, hapewi v8 au nyumba ni contract tuu ya mshahara anaostahili
 
Taarifa kama hii ikiwafikia uvccm, lazima tu watamnunia huyo mbunge. Maana wao ndiyo wanufaika wakuu wa vyeo vya kuteuliwa, huku wakiwa ni empty heads.

Miaka ya nyuma, ukurugenzi wa halmashauri ulitokana na watumishi wa umma waliofikia ngazi ya ukuu wa idara kwenye halmashauri, au maafisa utumishi wenye muda mrefu.

Ila baada ya Magufuli kuingia madarakani, ndipo haya mauzauza yalipoanza kutokea. Na huyu Mama naye anaendeleza mauzauza yale yale, huku akijisifia kuimarisha utawala bora! Na wakati ukija kwenye uhalisia, hakuna kitu.
 
Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira.

Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi iliyobaki inateua wakurugenzi (local government directors) ni Tanzania peke yake”

Amesema katika nchi nyingine kama vile Afrika Kusini, ni lazima watu wa cheo hicho wanapitia mchakato wa ajira.

Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.

Kunambi amesema kama taifa Watanzania inabili wabadidi fikra.

Aisee..!! Ana hoja..
 
Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira.

Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi iliyobaki inateua wakurugenzi (local government directors) ni Tanzania peke yake”

Amesema katika nchi nyingine kama vile Afrika Kusini, ni lazima watu wa cheo hicho wanapitia mchakato wa ajira.

Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.

Kunambi amesema kama taifa Watanzania inabili wabadidi fikra.

WAZO ZURI NAFASI ZITANGAZWE WATANZANIA WENYE SIFA WAOMBE
 
Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira.

Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi iliyobaki inateua wakurugenzi (local government directors) ni Tanzania peke yake”

Amesema katika nchi nyingine kama vile Afrika Kusini, ni lazima watu wa cheo hicho wanapitia mchakato wa ajira.

Nchini Tanzania, kwa mujibu wa sheria, Wakurugenzi wa halmashauri za mamlaka ya serikali za mitaa wanateuliwa na Rais.

Kunambi amesema kama taifa Watanzania inabili wabadidi fikra.

Muulize kwanza Kunambi mbunge wa Mlimba ni wapi na lini alifanya interview wakati Magufuli anampa u-DED wa Dodoma Jiji mwaka 2016.

Siyo busara kuongea kwa vile hauko kwenye system. Hata Luhaga Mpina alipokuwa yuko kwenye system alikuwa anachoma nyavu za watu wakati Magu anaua akina Ben Saanane. Sasa hivi anataka iundwe Tume ya kuchunguza kifo cha Magufuli.
 
Wenye mamlaka ya uteuzi hawawezi kukubali kwa sababu ni wapenda sifa na kuabudiwa na kila mtu kwamba yeye ndiye mgawa vyeo.
Wao wamewekwa na wananchi kwa hiyo wanapaswa kufanya kile wananchi wanachokitaka ili kuwapa uhakika wa uangalizi wa rasilimali zao.
 
Back
Top Bottom