Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Shida mi CCM haitaki hiyo kitu Mkurugenzi akiwa mtumishi wa umma by credentials na asiwe mwanasiasa, matokeo ya uchaguzi yatachakachuliwaje?
Hapa tatizo hatizo halitakuwa ni CCM bali wananchi.
Wananchi pamoja na wawakilishi wao wanapaswa kujitambua na kuweka masala yao na vizazi vya Taifa hili mbele kwa kuweka misingi bora na mifumo bora ya uendeshaji na ufanyajinkazi.