Kunani CCM, mbona Chaguzi za matawi zimepamba moto kiasi hiki? Je, huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani?

Kunani CCM, mbona Chaguzi za matawi zimepamba moto kiasi hiki? Je, huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani?

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
2,823
Reaction score
2,466
IMG-20220501-WA0018.jpg


Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Cde Shaka Hamdu Shaka amejumuika pamoja na wanachama wa Tawi la CCM Buyu Pwani, Mkoa wa Magharibi, Wilaya ya Dimani,

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameshiriki katika uchaguzi wa kuwachagua Mwenyekiti wa shina No 4 na wajumbe wa kamati ya Uongozi shina hilo.

IMG-20220501-WA0021.jpg


Kunani CCM mbona Chaguzi za matawi
zimepamba moto kiasi hiki,Je huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania!?

IMG-20220501-WA0020.jpg


Sote tunafahamu chama chochote cha Siasa msingi wake mkubwa ni kujijenga kwenye grassroots,

Je? Hili linatafsiri uimara wa kiwango cha juu wa Chama cha Mapinduzi?

IMG-20220501-WA0019.jpg

IMG-20220501-WA0024.jpg
 
Sote tunafahamu chama chochote cha Siasa msingi wake mkubwa ni kujijenga kwenye grassroots,

Je? Hili linatafsiri uimara wa kiwango cha juu wa Chama cha Mapinduzi?
Wapinzani (soma CHADEMA, au/na wengine ambao bado hawajajitokeza) washindwe tu wenyewe safari hii.

Hakuna lolote jipya katika haya yanayofanyika sasa ndani ya CCM yasiyofahamika toka zamani.

Tofauti kubwa inayoonekana sasa ni huo mwonekano tu wa dalili za uchovu/uchakavu wa chama hiki kila sehemu unapopatizama.

Hii siyo CCM ya msisimko hata kidogo.
 
Upuuzi tu mishahara hakuna. Nauli zimepanda, royo tua imedoda. Mna lipi jengine mnaloweza kutudanganya, sensa au postikadi??
Tumejenga shule na matundu mengi ya choo kwa pesa ya uviko..uko hapo!
 
tunawaogopa

tumewastopisha wasifanye siasa nao wamestop kweli

mie sikuwahi kujua kuwa unaweza ukampiga biti mtu unaemuogopa nae akanywea
Woga tu ccm inaogopwa sana upinzani
Mnajifaragua KWA kuwa mme wapiga stop wasifanye siasa
 
View attachment 2207457
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Cde Shaka Hamdu Shaka amejumuika pamoja na wanachama wa Tawi la CCM Buyu Pwani, Mkoa wa Magharibi, Wilaya ya Dimani,

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameshiriki katika uchaguzi wa kuwachagua Mwenyekiti wa shina No 4 na wajumbe wa kamati ya Uongozi shina hilo.
View attachment 2207446
Kunani CCM mbona Chaguzi za matawi
zimepamba moto kiasi hiki,Je huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania!?
View attachment 2207449
Sote tunafahamu chama chochote cha Siasa msingi wake mkubwa ni kujijenga kwenye grassroots,

Je? Hili linatafsiri uimara wa kiwango cha juu wa Chama cha Mapinduzi?

View attachment 2207430

View attachment 2207432

Wala hata hatujuia kama kuna uchaguzi wa ccm, labda wazee na watu waliopoteza ramani.
 
Back
Top Bottom