Kunani CCM, mbona Chaguzi za matawi zimepamba moto kiasi hiki? Je, huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani?

Kunani CCM, mbona Chaguzi za matawi zimepamba moto kiasi hiki? Je, huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani?

View attachment 2207457
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Cde Shaka Hamdu Shaka amejumuika pamoja na wanachama wa Tawi la CCM Buyu Pwani, Mkoa wa Magharibi, Wilaya ya Dimani,

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameshiriki katika uchaguzi wa kuwachagua Mwenyekiti wa shina No 4 na wajumbe wa kamati ya Uongozi shina hilo.
View attachment 2207446
Kunani CCM mbona Chaguzi za matawi
zimepamba moto kiasi hiki,Je huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania!?
View attachment 2207449
Sote tunafahamu chama chochote cha Siasa msingi wake mkubwa ni kujijenga kwenye grassroots,

Je? Hili linatafsiri uimara wa kiwango cha juu wa Chama cha Mapinduzi?

View attachment 2207430

View attachment 2207432
CHAMA CCM, CHAMA CHA WANACHAMA
 
View attachment 2207457
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Cde Shaka Hamdu Shaka amejumuika pamoja na wanachama wa Tawi la CCM Buyu Pwani, Mkoa wa Magharibi, Wilaya ya Dimani,

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameshiriki katika uchaguzi wa kuwachagua Mwenyekiti wa shina No 4 na wajumbe wa kamati ya Uongozi shina hilo.
View attachment 2207446
Kunani CCM mbona Chaguzi za matawi
zimepamba moto kiasi hiki,Je huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania!?
View attachment 2207449
Sote tunafahamu chama chochote cha Siasa msingi wake mkubwa ni kujijenga kwenye grassroots,

Je? Hili linatafsiri uimara wa kiwango cha juu wa Chama cha Mapinduzi?

View attachment 2207430

View attachment 2207432
Shaka ni mtu muhimu sana kwa Taifa hili,
 
View attachment 2207457

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Cde Shaka Hamdu Shaka amejumuika pamoja na wanachama wa Tawi la CCM Buyu Pwani, Mkoa wa Magharibi, Wilaya ya Dimani,

Ndg Shaka Hamdu Shaka ameshiriki katika uchaguzi wa kuwachagua Mwenyekiti wa shina No 4 na wajumbe wa kamati ya Uongozi shina hilo.

View attachment 2207446

Kunani CCM mbona Chaguzi za matawi
zimepamba moto kiasi hiki,Je huu sasa ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania!?

View attachment 2207449

Sote tunafahamu chama chochote cha Siasa msingi wake mkubwa ni kujijenga kwenye grassroots,

Je? Hili linatafsiri uimara wa kiwango cha juu wa Chama cha Mapinduzi?

View attachment 2207430
View attachment 2207432
Mtaani kwetu hatuna Mjumbe.

Aliyekuwepo amegoma kuchukua form.
Kisa wananchi hawana Imani na CCM na serikali yake .
 
kazi yakuingiaga saluni mnafutwa usoni tu sio zuri ukiweza wambie kote wavuruge ...kazi yakuwaga mweupe usoni tu mambogani haya
 
Back
Top Bottom