luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Nyie wahaya mmetuzid wanawake wenu kuwapiga dawa ya kuwapumbaza waume zao inaitwa SHUNTAMA mwanaume hela ZOTE unampa mwanamkeNyie mmetuzidi kwenye wizi na ujambazi na wanawake kuua waume zao refer UFO saro
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hahahaha hii slogan imenibariki sanaTatizo Muhaya anamuonea wivu Mchaga, aliyekutangulia ameshatangulia hamna namna.
If you can't fight you better Join Them
Kila kitu elimu,pesa, miundombinu everythingkwa maendeleo yapi anbayo mchaga kamzidi muhaya? au kwa elimu ipi?
Mchaga yeye yupo multiple,sio tu kwenye elimu Bali kila idara yupo hii ndio tofauti yake na mhayaAaaah bwashee unachemka sio mchaga, wala mnyakyusa au msukuma anayeweza kumfikia muhaya kwa elimu,wahaya swala la elimu lipo ndani use DNA,kusoma Sana kwao no hulka, ipo ndaniiiiii,
Kasome historia Mjerumani mwenyewe alikili haya people are the moat inteligent in East and Central Afrika.
UCHAGANI kuna maprofesa hadi keroHakuna kushikana jamani,na maneno makali hayatakiwa naendelea kuchuja. Kumbe elimu mhaya yuko juu! Ndio mana kuna maprofesa wengi sana toka BK
Mchagga anamzidi Mhaya utapeli, wizi na ulevi, otherwise mchaga bado ana safari ndefu
Nyie wanawake wenu wanaowaloga waume zao kwa dawa aina ya SHUNTAMA mmewasahau?Kwa kitu gani mlichonacho.
Wanawake wanaoua waume au Ile miguu ya spoku[emoji23]
Wahaya sifa Yao kuu ni kujisikia hawezi muonea mtu yeyote wivu kamwe
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro Ni mkoa wa pili watu wake kuwa na maisha bora kwa 90% ,kagera ni mkoa wa 9 kwa umaskiniHii mkuu nakubaliana nayo,vip maendeleo uhayani huko mana sijafika ila nilipitaga Moshi tu
Matapeoi wakamiliki Hadi ndege?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata mtoto aliyezaliwa leo anajua kwamba tapeli namba moja ni mchagga
Nishawaambia uchaggani zaidi ya ulevi hamna jipya watu tumetembea huko tumeona
Mbona mkoa wenu kagera Ni wa 9 kwa umaskini ? Sisi hatuna maneno mengi tunaenda kwa data tuKuna video nimeiona YouTube kuonesha wahaya walifua vyumba miaka zaidi ya 200 kabla ya kristu Hadi mzungu anashangaa akili hizi
Wachaga sio tu wanapanda ndege,Bali wanamiliki ndegeWatu unaosema vyuma vimekaza[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndege zinazidiwa na abiria. Na wala hakuna utalii wowote bk mi ndugu Tu wanatembeleana.
Ila sasa wachaga hapo Tu moshi watu wanapanda daladala za buza na gomz[emoji23][emoji23]
NB nauli ya bus ya bukoba=nauli ya ndege moshiView attachment 1660486
@instanbul njoo kuna ujumbe wako hapaElimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.
Na business meeting anakuja na VX kali la kukodi. Mazima mtu unaingia kingi ukija kuhamaki umeshatapeliwa. IQ kubwa sana hii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Instanbul yupo wapi wajameni@instanbul njoo kuna ujumbe wako hapa
Wahaya si ndo wakiingia baa wanaagiza kumi kumi kwa kila mtu
uhayani na uchagani ni copy and paste kuanzia mazingira, mazao, ukabila, hali ya hewa.Binafsi mimi siyo mhaya wala mchaga ila nimeona nyuzi nyingi sana wanakosoana na kutaniana. Jambo la kushangaza zaidi hata kama uzi unahusu mambo mengine akitangulia mhaya kutoa maoni yake ujue lazima mchaga aje kukosoa, mchaga akisema hivi mhaya atakuja kupinga.
Mimi nauliza naomba kujua hasa mabishano haya yanatokea sana mwisho wa mwaka
Boss REDEEMER. luambo makiadi najua nyie mtakuwa wachaga kwanini mnakosoa sana wahaya kuliko makabila mengine?
Wazee wa Katerero instanbul na @Greet haya kwanini hamuoni makabila mengine kama sisi wazaramo mtutanie? Tatizo ni elimu, maendeleo au ni watani wa jadi? Na huo utani umeanza lini?
Ufafanuzi tafadhali, mimi ni mwamuzi
Sasa mkuu mbona mnawapenda sana na mnawang'ania kama luba.Wanawake wa kichaga na miguu Yao myembamba Kama spoku za baiskeli au wale ndege wanaitwa kanyaimunywa.
Ntarudi, ila nisikukute hapaNishawaambia uchaggani zaidi ya ulevi hamna jipya watu tumetembea huko tumeona
Haha
Kwa sisi tuliochanganya uhaya na uchaga tunasimama wapi?Binafsi mimi siyo mhaya wala mchaga ila nimeona nyuzi nyingi sana wanakosoana na kutaniana. Jambo la kushangaza zaidi hata kama uzi unahusu mambo mengine akitangulia mhaya kutoa maoni yake ujue lazima mchaga aje kukosoa, mchaga akisema hivi mhaya atakuja kupinga.
Mimi nauliza naomba kujua hasa mabishano haya yanatokea sana mwisho wa mwaka
Boss REDEEMER. luambo makiadi najua nyie mtakuwa wachaga kwanini mnakosoa sana wahaya kuliko makabila mengine?
Wazee wa Katerero instanbul na @Greet haya kwanini hamuoni makabila mengine kama sisi wazaramo mtutanie? Tatizo ni elimu, maendeleo au ni watani wa jadi? Na huo utani umeanza lini?
Ufafanuzi tafadhali, mimi ni mwamuzi