Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Aaaah bwashee unachemka sio mchaga, wala mnyakyusa au msukuma anayeweza kumfikia muhaya kwa elimu,wahaya swala la elimu lipo ndani use DNA,kusoma Sana kwao no hulka, ipo ndaniiiiii,
Kasome historia Mjerumani mwenyewe alikili haya people are the moat inteligent in East and Central Afrika.
Kuna video nimeiona YouTube kuonesha wahaya walifua vyumba miaka zaidi ya 200 kabla ya kristu Hadi mzungu anashangaa akili hizi
 
Siku izi naona mmepunguza kujisifia,kwanin mmekuwa matapeli sana kwa sasa? Au ndio vyuma kukaza?
Jifunze kujiajiri badala kutegemea ajira serikalini
Watu unaosema vyuma vimekaza[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndege zinazidiwa na abiria. Na wala hakuna utalii wowote bk mi ndugu Tu wanatembeleana.


Ila sasa wachaga hapo Tu moshi watu wanapanda daladala za buza na gomz[emoji23][emoji23]


NB nauli ya bus ya bukoba=nauli ya ndege moshi
FB_IMG_16082016762578105.jpg
 
kwa maendeleo yapi anbayo mchaga kamzidi muhaya? au kwa elimu ipi?
Elimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.

Na business meeting anakuja na VX kali la kukodi. Mazima mtu unaingia kingi ukija kuhamaki umeshatapeliwa. IQ kubwa sana hii. 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Aaaah bwashee unachemka sio mchaga, wala mnyakyusa au msukuma anayeweza kumfikia muhaya kwa elimu,wahaya swala la elimu lipo ndani use DNA,kusoma Sana kwao no hulka, ipo ndaniiiiii,
Kasome historia Mjerumani mwenyewe alikili haya people are the moat inteligent in East and Central Afrika.
Iyo elimu imewapa nini? Kujidai? Kwa hiyo walienda kusoma ili waje kutapeli watu?
Aya kama mmesoma sana mmefanyia nini kwenu ? Kunanuka umasikini sana. Ndio mana hampapendi
 
Elimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.

Na business meeting anakuja na VX kali la kukodi. Mazima mtu unaingia kingi ukija kuhamaki umeshatapeliwa. IQ kubwa sana hii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna mkibosho katapeliwa posta juzi .kila siku anatapeliwa na ruta mmoja[emoji23]

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Elimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.

Na business meeting anakuja na VX kali la kukodi. Mazima mtu unaingia kingi ukija kuhamaki umeshatapeliwa. IQ kubwa sana hii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii bora inatumia akili kuliko bunduki aisee
 
Watu unaosema vyuma vimekaza[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndege zinazidiwa na abiria. Na wala hakuna utalii wowote bk mi ndugu Tu wanatembeleana.


Ila sasa wachaga hapo Tu moshi watu wanapanda daladala za buza na gomz[emoji23][emoji23]


NB nauli ya bus ya bukoba=nauli ya ndege moshiView attachment 1660486

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 Nenda TRC kaulize kama kuna nafasi ya treni kesho, nenda ubungo fanya hivyo. Tiketi za ndege Dar Kilimanjaro mpaka tar 4 ndio zitakuepo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata mtoto aliyezaliwa leo anajua kwamba tapeli namba moja ni mchagga
Mission town number moja ni Haya. Mihuri, headed papers, tax clearance yaani you name all. Sema siku hizi na mambo ya advanced technology mission town nyingi zimefia mbali maana mambo mengi computerized systems. Wakati wa kila kitu manual mambo yote ni Salamander vishoka Hayas🤣🤣🤣
 
Iyo elimu imewapa nini? Kujidai? Kwa hiyo walienda kusoma ili waje kutapeli watu?
Aya kama mmesoma sana mmefanyia nini kwenu ? Kunanuka umasikini sana. Ndio mana hampapendi
[emoji3][emoji3][emoji3] umepanic, yaani hatupendi kweli???! Ni hizi safari za ndege zinapeleka nini
tapatalk_1609074911576.jpeg
 
Back
Top Bottom