2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
- Thread starter
- #61
🤣🤣👏👏👏Ni kweli tofauti yao ndogo sana, kuna mhaya nilikua nakaa nyumba 1 yeye alikuwa hajapata kazi bado lakini lifestyle yake unaeza sema ni bilionea au kigogo flani hivi...muda wote moka inapigwa kiwi matambo sana,sa sijui alipopata kaz alikuwajeKabisa mkuu. Ila utani wa wahayana wachaga ni wa kistaarabu maana wote ni fighter wakubwa kimaisha