Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Huo ni utani wa muda mrefu,mhaya yeyote yeye kuwa na maisha ya shida kwake ni mwiko ndoo maana anaweza alatumia akili yake vzr akamtapeli mtu ,lakini pia mchaga hivyo hivyo nae hataki kuteseka na umaskini lazima ataanzisha kiosiki na atakuwa na roho mbaya mwishoe atatoboa.