The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Hapana anamsemea Prof Mkandala ni wa MulebaUnamsemea Mathew Luhanga? Alishastaafu miaka mingi. Sina habari zake. Ila mtu wa Iringa kama sikosei.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana anamsemea Prof Mkandala ni wa MulebaUnamsemea Mathew Luhanga? Alishastaafu miaka mingi. Sina habari zake. Ila mtu wa Iringa kama sikosei.
Wapo wahaya kibao wanakula kitoko vodka saivi...ukimuona kashika Hennessy ujue anapiga nayo picha tuBia kwao ni Heineken na Windhoek nyingine kina Kilimanjaro waachie kina Mangi
Hivi mchaga ana elimu?Shida inakuja pale mhaya anapojilinganisha na mchaga kimaendeleo na kielimu ndo ugomvi unaanzia hapo.
Wahaya bado bado sana labda kwenye utapeli wanatuzidi
Dah!! Pole sana una safari ndefu sanaHivi mchaga ana elimu?
Bora mnyamwezi
Weeee spoku zinalipaaa ha ha haaKwa kitu gani mlichonacho.
Wanawake wanaoua waume au Ile miguu ya spoku[emoji23]
Wahaya sifa Yao kuu ni kujisikia hawezi muonea mtu yeyote wivu kamwe
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hivi wanawake kati ya mchaga na mhaya nani ana msambwandaKibukoba vs Mshale
Wote wanaishi kwa ndizi hao kuanzia chakula, tunda hadi pombe!
Ni mhaya original sio wa IringaUnamsemea Mathew Luhanga? Alishastaafu miaka mingi. Sina habari zake. Ila mtu wa Iringa kama sikosei.
Sina ubabe hewa hapa vitendoDah!! Pole sana una safari ndefu sana
Kuna mhaya alikodi hotel ghorofa moja kwa miezi miwili akafanya aliyofanya ile hotel akachukulia mkopo
Mwenye hotel alikuja kustuka kitu inapigwa mnada [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia nguvu nyingi kujenga hojaDah!! Pole sana una safari ndefu sana
Toka usingizin amka ukojoe......ulitaka nianze kusimulia ilivokua? We Ni sawa na Tecno phantomUtawekaje dhamana ya ghorofa bila kupeleka nyaraka za umiliki wa jengo/ardhi (let say Title deed) kwa anayekukopesha!???
Mods anzisheni jukwaa la watoto,, hasa hasa kipindi hiki cha likizo
Ohh nimesahau huyu guru wa CCM. Alianzia REDET. Ila hakuwa kiongozi mzuri. AlipyayaHapana anamsemea Prof Mkandala ni wa Muleba
Luhanga ni Mhaya Kweli? Au unamsemea Mukandala?Ni mhaya original sio wa Iringa
Hilo halina mpinzani.Tanzania hakuna maprofesa wengi kama wahaya wachaga hamna kitu
Wachaga wengi waliosoma ni mambo ya fedha uhasibu na uchumi wanapenda maeneo ya wizi wizi
Wahaya waseme shida iko wapBinafsi mimi siyo mhaya wala mchaga ila nimeona nyuzi nyingi sana wanakosoana na kutaniana. Jambo la kushangaza zaidi hata kama uzi unahusu mambo mengine akitangulia mhaya kutoa maoni yake ujue lazima mchaga aje kukosoa, mchaga akisema hivi mhaya atakuja kupinga.
Mimi nauliza naomba kujua hasa mabishano haya yanatokea sana mwisho wa mwaka
Boss REDEEMER. luambo makiadi najua nyie mtakuwa wachaga kwanini mnakosoa sana wahaya kuliko makabila mengine?
Wazee wa Katerero instanbul na @Greet haya kwanini hamuoni makabila mengine kama sisi wazaramo mtutanie? Tatizo ni elimu, maendeleo au ni watani wa jadi? Na huo utani umeanza lini?
Ufafanuzi tafadhali, mimi ni mwamuzi
Naona wanajenga chuo kikuu huko bukoba sasa hapa ndo wanawapatia kabisa wahayaTanzania hakuna maprofesa wengi kama wahaya wachaga hamna kitu
Wachaga wengi waliosoma ni mambo ya fedha uhasibu na uchumi wanapenda maeneo ya wizi wizi
Rwekaza Mukandara.Unamsemea Mathew Luhanga? Alishastaafu miaka mingi. Sina habari zake. Ila mtu wa Iringa kama sikosei.
Mmeanza kujisifia visivyokuwepo.Wahya wajiapange, wanapopita sasa hivi, wachaga walishapita miaka 30 iliyopita, bora hata wakinga ambao wachaga wa hali ya chini wanapambana nao huko kariakoo, wachaga sasa hivi ni kufungua viwanda tuu, mashamba ya miti, investments zinazosubiria return ya billions of money we shifted from whole & retail sale to manufacturing and consultancy services
Ninawafahamu vizuri sana, hata huyo wa mesuma ninamjua vizuri sana, huwezi kumuita 100 % mhaya, anayerun si yule demu millen kwa sasa, wanaheshabika wengi wanaishia kusoma sana na utapeliMmeanza kujisifia visivyokuwepo.
Bado hujawafahamu wahaya vzr
Watu Wana mpaka university zao refer kairuki university na cosad hospital kule bukoba.
Njoo kwa mesuma hotel na hotel kibao posta.
Njoo makampuni ya biotech ya mfuruki
Njoo kwenye mafuta ya kupikia ya mukwano
Kuna wafanyabiashara wakubwa wengi Tu wa kihaya inawezekana hata hao wakinga hawana lolote
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app