Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Huo wingi wa maprofesa umefaisha nini bukoba? Au ndio sifa za kijinga
Lakini Bora uwe nao kuliko kutokuwa nao kabisa.


Halafu bukoba sio sehemu ya kubeza kiasi hicho


Ipo inaendelea kimya kimya.


Mfano professor mmoja ameamasisha kujengwa university matata Sana bk ujenzi unaendelea.



Bukoba ni mji unaojitosheleza kwa kila kitu hakuna utakachotafuta ukakikosa Hadi mall
images%20(1).jpg
images.jpg
FB_IMG_16083103294558445.jpg
FB_IMG_16083103373547676.jpg
FB_IMG_16083103421370189.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Nenda vijijini uone kulivyo kuzuri na mijengo ya uhakika ramani za Ulaya na Marekani tofauti na uchagani nyumba za maana wamejenga mikoa mingine sio kwao iwe mjini au vijijini
Bora umwambie ukweli.

Ni maprofessor wachache Sana ambao hawajajenga bukoba.

Mimi wote ninaowajua Wana mijumba mikali huko vijijini mfano professor RWEKAZA mkandala nyumba yake kijijini kwake huwezi ikuta hata mbezi beach

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Tungekuwa tunalia lia tusingejazana Moshi mwaka huu. Vyombo vyote vya usafiri vimejaa. Vyuma labda kwenu huko
Mfano kidogo hivi bukoba mwanza kuna umbali gani?

Lakin watu wanaacha mabasi na meli na kupanda ndege.

Nadhani bongo ukitoa route ya dar to mikoani.

Route pekee ni mwanza bk
FB_IMG_16090759064674683.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu muhaya utamuona yuko vizuri Dar Mbezi bich lakini bukoba kuna umasikini wa kutupa
Hebu nenda katuonyeshe umaskini wa kutupa[emoji23]

Hiv hawa wanaopanda ndege huenda kukaa logde ama wap tena MTU anatoka mwanza Tu 300km yaan kama DAR Moro lakin anapanda ndege.
FB_IMG_16090759064674683.jpg
Screenshot_20201227-151318.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Wahaya waseme shida iko wapView attachment 1660621
Unajua ukisema mkoa wa kagera unasema makabila kibao Hadi wasukuma unawataja.




Hebu leta report ya wilaya maana wahaya wilaya zao ni bukoba, misenyi na muleba nyingine ni wanyambo ( karagwe na kyerwa) wahangaza ( ngara) na wasubi ( biharamulo) huku biharamulo na ngala ziliwa ndo Maskini zaidi nchini .

Huku misenyi ikiwa kwenye wilaya Bora kimaendeleo ni ya nane nchini

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Unajua ukisema mkoa wa kagera unasema makabila kibao Hadi wasukuma unawataja.




Hebu leta report ya wilaya maana wahaya wilaya zao ni bukoba, misenyi na muleba nyingine ni wanyambo ( karagwe na kyerwa) wahangaza ( ngara) na wasubi ( biharamulo) huku biharamulo na ngala ziliwa ndo Maskini zaidi nchini .

Huku misenyi ikiwa kwenye wilaya Bora kimaendeleo ni ya nane nchini

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kwani ni mkoa gani unakabila moja?unatafuta pakutokea sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Sasa umeleta report ya nini na kusema wahaya as if wahaya=kagera[emoji848][emoji848]. Unajichanganya mwenyew.

Hebu uzia wateja hapo kwenye kiosk unakosa wateja

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
We unazingua mkoa wenu hovyo kabisa kwahyo unategemea hata nikienda kiwilaya mtatoboa?nyie ni wa mwisho kwenye kila kitu [emoji23][emoji23]
 
Bado ujasema wale wanawake wanaoua waume zao, hawako romantic wanashape kama la duduwasha na miguu ya spoku.

Bila kusahau wanaume wakichaga wanaogeuka wanawake refer Noel tz

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hayo machoko yapo katika kila jamii, hao wanaoua wanaume zako wapo pia ila ni wivu tuu unasababisha, wengi wanaooondolewa ni iwa sababu ya umalaya na usaliti, mke akiangalia anaona familia inavunjika unatangulizwa, kufuta tatizo
 
Hayo machoko yapo katika kila jamii, hao wanaoua wanaume zako wapo pia ila ni wivu tuu unasababisha, wengi wanaooondolewa ni iwa sababu ya umalaya na usaliti, mke akiangalia anaona familia inavunjika unatangulizwa, kufuta tatizo
Basi na malaya wapo kila jamii.
Acha kuhukumu jamii Mzima. Unaona sasa unavyotype bila kufikiria kwa akili.


Au labda nawe ni mgonjwa pia
images%20(9).jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom