Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magari yenu yako wap?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nenda TRC kaulize kama kuna nafasi ya treni kesho, nenda ubungo fanya hivyo. Tiketi za ndege Dar Kilimanjaro mpaka tar 4 ndio zitakuepo
Naongezea na roho mbaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata mtoto aliyezaliwa leo anajua kwamba tapeli namba moja ni mchagga
Alafu mshika bunduki ni nani??Mission town number moja ni Haya. Mihuri, headed papers, tax clearance yaani you name all. Sema siku hizi na mambo ya advanced technology mission town nyingi zimefia mbali maana mambo mengi computerized systems. Wakati wa kila kitu manual mambo yote ni Salamander vishoka Hayas[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nayo ni akili kubwa kuliko kutumia bunduki aiseeKuna mhaya alikodi hotel ghorofa moja kwa miezi miwili akafanya aliyofanya ile hotel akachukulia mkopo
Mwenye hotel alikuja kustuka kitu inapigwa mnada [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa mpu.uzi kweli, yani umeanzisha thread ukijidai hauna upande unaoegemea alafu sasa hivi tumegundua kumbe we Muhaya. Fa.ala kweliKwa hela mchaga bunduki ndio pahala pake
matapeli hawa, kwenye begi hukosi brush ya viatuElimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.
Na business meeting anakuja na VX kali la kukodi. Mazima mtu unaingia kingi ukija kuhamaki umeshatapeliwa. IQ kubwa sana hii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulia wewe na mawenge usome kwanza mbona hata wahaya amewasemaWe jamaa mpu.uzi kweli, yani umeanzisha thread ukijidai hauna upande unaoegemea alafu sasa hivi tumegundua kumbe we Muhaya. Fa.ala kweli
Kweli Wahaya kwenye bunduki hawako japo wako .pakani zinakopatikana kirahisi. Wao ni brains kimetumika na wanakuwa nadhifu hatari. Yaani jioni akiwa anarudi na briefcase lake lenye vifaa muhimu mission town huwa hapandi daladala. Enxi za Mark II balloon mtanielewa. Taxi bubu hilo lina A.C. jamaa anatimba home kama Katibu Mtendaji ofisi fulani nyeti 🤣🤣🤣.Hii bora inatumia akili kuliko bunduki aisee
AseeKuna mhaya alikodi hotel ghorofa moja kwa miezi miwili akafanya aliyofanya ile hotel akachukulia mkopo
Mwenye hotel alikuja kustuka kitu inapigwa mnada [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama akili yake serikali haitaki kumtumia mhaya kwenye ujenzi wa nchi. Zile akili zipelekwe wap?Asee
Kabisa mkuu. Ila utani wa wahayana wachaga ni wa kistaarabu maana wote ni fighter wakubwa kimaishamatapeli hawa, kwenye begi hukosi brush ya viatu
Baada ya utapeli na wizi kuthibitiwa siku hizi Wachaga wanalialia eti serikali inawaonea [emoji3][emoji3][emoji3]Kweli Wahaya kwenye bunduki hawako japo wako .pakani zinakopatikana kirahisi. Wao ni brains kimetumika na wanakuwa nadhifu hatari. Yaani jioni akiwa anarudi na briefcase lake lenye vifaa muhimu mission town huwa hapandi daladala. Enxi za Mark II balloon mtanielewa. Taxi bubu hilo lina A.C. jamaa anatimba home kama Katibu Mtendaji ofisi fulani nyeti [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Wachagga enzi hizo walikuwa ndiyo mastermind wa matukio na akishakuwa billuonaire anaacha. Siku hizi walishastaafu kazi za bunduki ndiyo maana huwasikii tena kwenye matukuo kabisa.
Mhaya brains ndo kila kituKweli Wahaya kwenye bunduki hawako japo wako .pakani zinakopatikana kirahisi. Wao ni brains kimetumika na wanakuwa nadhifu hatari. Yaani jioni akiwa anarudi na briefcase lake lenye vifaa muhimu mission town huwa hapandi daladala. Enxi za Mark II balloon mtanielewa. Taxi bubu hilo lina A.C. jamaa anatimba home kama Katibu Mtendaji ofisi fulani nyeti [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Wachagga enzi hizo walikuwa ndiyo mastermind wa matukio na akishakuwa billuonaire anaacha. Siku hizi walishastaafu kazi za bunduki ndiyo maana huwasikii tena kwenye matukuo kabisa.
Pesa sabuni ya roho aisee. Yaani ukiwa nayo hata ngozi ya mamba inakuwa nyororo kama konokono. Uzee unakimbia kabisa.Mi mwamuzi ila naongea kile kilichopo mitaani. Mchaga kwa hela yuko tayari kwa lolote
Yap utani au mijadala kama hii sometimes tunaweza kuitumia kama chachu ya kuzidi kusonga mbele kama powerful tribes hapa TzKabisa mkuu. Ila utani wa wahayana wachaga ni wa kistaarabu maana wote ni fighter wakubwa kimaisha