Kuna video nimeiona YouTube kuonesha wahaya walifua vyumba miaka zaidi ya 200 kabla ya kristu Hadi mzungu anashangaa akili hiziAaaah bwashee unachemka sio mchaga, wala mnyakyusa au msukuma anayeweza kumfikia muhaya kwa elimu,wahaya swala la elimu lipo ndani use DNA,kusoma Sana kwao no hulka, ipo ndaniiiiii,
Kasome historia Mjerumani mwenyewe alikili haya people are the moat inteligent in East and Central Afrika.
Nenda posta utajua nachosema hapa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata mtoto aliyezaliwa leo anajua kwamba tapeli namba moja ni mchagga
Mkuu wilaya za wahaya ziko vzrHii mkuu nakubaliana nayo,vip maendeleo uhayani huko mana sijafika ila nilipitaga Moshi tu
Watu unaosema vyuma vimekaza[emoji23][emoji23][emoji23]Siku izi naona mmepunguza kujisifia,kwanin mmekuwa matapeli sana kwa sasa? Au ndio vyuma kukaza?
Jifunze kujiajiri badala kutegemea ajira serikalini
Hapo na mm naunga mkono % zoteKwa hela mchaga bunduki ndio pahala pake
Elimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.kwa maendeleo yapi anbayo mchaga kamzidi muhaya? au kwa elimu ipi?
Pole Nani alikutapeliNenda posta utajua nachosema hapa
Iyo elimu imewapa nini? Kujidai? Kwa hiyo walienda kusoma ili waje kutapeli watu?Aaaah bwashee unachemka sio mchaga, wala mnyakyusa au msukuma anayeweza kumfikia muhaya kwa elimu,wahaya swala la elimu lipo ndani use DNA,kusoma Sana kwao no hulka, ipo ndaniiiiii,
Kasome historia Mjerumani mwenyewe alikili haya people are the moat inteligent in East and Central Afrika.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna mkibosho katapeliwa posta juzi .kila siku anatapeliwa na ruta mmoja[emoji23]Elimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.
Na business meeting anakuja na VX kali la kukodi. Mazima mtu unaingia kingi ukija kuhamaki umeshatapeliwa. IQ kubwa sana hii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uko sawaWaache watukanane,Wasukuma tumetulia tuli tunaongoza Jeshi,nchi na nafasi nyeti nyingi nchini. Tunajivunia ukarimu wetu. Hatubezi mtu.
[emoji3][emoji3] hongera kwenu wasukumaWaache watukanane,Wasukuma tumetulia tuli tunaongoza Jeshi,nchi na nafasi nyeti nyingi nchini. Tunajivunia ukarimu wetu. Hatubezi mtu.
Mnakamata hao wagogo na wasukuma ndio saizi yenuPole Nani alikutapeli
Mwombeki shumbusho au muganyizi.
Walikuona mbumbumbu ndo maana ulitapeliwa
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hii bora inatumia akili kuliko bunduki aiseeElimu ya Mission Town. Wahaya na zile briefcase zao enzi hizo unakuta zimebeba kila aina ya mhuri na headed papers. Yaani briefcase office a.k.a Movable office. Hapo amaulamba suti na kiatu kikali kila baada ya muda lazima apite shoe shine.
Na business meeting anakuja na VX kali la kukodi. Mazima mtu unaingia kingi ukija kuhamaki umeshatapeliwa. IQ kubwa sana hii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mbona unalia Lia.Mnakamata hao wagogo na wasukuma ndio saizi yenu
🤣🤣🤣 Nenda TRC kaulize kama kuna nafasi ya treni kesho, nenda ubungo fanya hivyo. Tiketi za ndege Dar Kilimanjaro mpaka tar 4 ndio zitakuepoWatu unaosema vyuma vimekaza[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndege zinazidiwa na abiria. Na wala hakuna utalii wowote bk mi ndugu Tu wanatembeleana.
Ila sasa wachaga hapo Tu moshi watu wanapanda daladala za buza na gomz[emoji23][emoji23]
NB nauli ya bus ya bukoba=nauli ya ndege moshiView attachment 1660486
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Mission town number moja ni Haya. Mihuri, headed papers, tax clearance yaani you name all. Sema siku hizi na mambo ya advanced technology mission town nyingi zimefia mbali maana mambo mengi computerized systems. Wakati wa kila kitu manual mambo yote ni Salamander vishoka Hayas🤣🤣🤣[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata mtoto aliyezaliwa leo anajua kwamba tapeli namba moja ni mchagga
[emoji3][emoji3][emoji3] umepanic, yaani hatupendi kweli???! Ni hizi safari za ndege zinapeleka niniIyo elimu imewapa nini? Kujidai? Kwa hiyo walienda kusoma ili waje kutapeli watu?
Aya kama mmesoma sana mmefanyia nini kwenu ? Kunanuka umasikini sana. Ndio mana hampapendi