Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

Muhaya Ni majivuno,akianza kuongea hamalizi,mchagga Ni mtu katili na muuaji ,ogopa Sana wachagga sio watu wazuri
 
Magari yenu yako wap?
Hebu tazama ndiga hiz vijana wadogo Tu wakihaya wanaenda nazo bukoba


Yaan watu wawe na hela wapande treni na vidaladala za gomz[emoji1787]

Mngejua wahaya wanavyowashangaa na kuwanderate na mmbwembww zenu mgetulia tuView attachment 1660504

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
We nae punguza Umbumbumbu huoni hizo ni gari za serikali ? Hata plate namba huoni?
 
Kwan matajiri wa kichaga wapo Moshi!??[emoji23][emoji23]

Eti bukoba kunaangamia??? [emoji23] Labda sio bukoba nayoijua Mimi. Moshi ndo kunaangamia mji uko vile vile miaka nenda Rudi mji haupanuki.


Bukoba mji unapanuka Sana na Sasa umeanza kumeza vijiji vya wilaya ya bukoba vijijini . Kama ulikua hujui mji wa bukoba ni Mpana kuliko Moshi.

Bukoba inazidiwa na Moshi kwenye miundombinu. Miundombinu ya bukoba imechoka Sana na Hilo ni jukumu la serikali sio wananchi
Bukoba kuna Universities ngapi ? Na Moshi kuna universities ngapi??

Hivi unajua kua mkoa wenye shule nyingi Tanzania ni Kilimanjaro?

Bukoba mnahospitali kubwa ipi?kumbuka moshi wana KCMC. Usije ukanitajia hospitali ya rufaa maana hata Moshi wanayo pia (Mawenzi).
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu kuongelea na kujivuna kwa ajili ya ukabila baada ya ujivunia utanzania na kupambana kwa ajili ya Utanzania.Ndoo maana wazungu watabaki kuwa smart kwa kuwa Mungu amewapa akili ya kujitambua na kulingia utaifa wao.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Bukoba kuna Universities ngapi ? Na Moshi kuna universities ngapi??

Hivi unajua kua mkoa wenye shule nyingi Tanzania ni Kilimanjaro?

Bukoba mnahospitali kubwa ipi?kumbuka moshi wana KCMC. Usije ukanitajia hospitali ya rufaa maana hata Moshi wanayo pia (Mawenzi).
Wapumbavu na wajinga wa Moshi ndo hujisifia mavyuo na mashule

Sisi tunajisifia idadi ya wasomi.
Kuna Publication iliyoeleza hotuba ya Enock Massawe akiwa mkuu wa Mkoa wa Kagera akieleza idadi ya Maprofesa Tanzania tokea imepata uhuru kufika 500 lakin kagera ina Maprofesa zaid ya 150 na 70% ya Maprofesa haob wakitokea Wilaya ya Missenye Tarafa Kiziba kwa (NSHOMILE) kifuatiwa na Wilaya ya ukerewe ambayo ina Maprofesa 24, wakifuatiwa na Kilimanjaro 21 Maprofesa tu
Na mikoa mingine mingine

Nikafanya kauchunguzi kwa Haraka nimepata hawa hapa, changamoto ni kwamba kuna Maprofesa wahaya wasiotumia majina ya kihaya, hivo hao sikuweza kuwatambua haraka,

Waliotambulika haraka ni hawa
1. PROF. BARONGO JUSTUS O
B.Sc. (UoN), M.Sc. (Queens), Ph.D. (McGill).
Email: jbarongo@uonbi.ac.ke
2. Professor L Barongo
Community Medicine: Professor
Contact Details:
(+264 61) 2065012
lbarongo@unam.na
3: Professor Feliciano Barongo mzumbe University
4: Prof Silas Lwakabamba is a Rwandan professor of Tanzanian
5: Professor Rwekaza Mukandala
6: Professor John Rwomushana
7: Professor Anna Tibaijuka
8: Professor Kesho Mushahara
9: Professor Kazaula
10: Professor Tibageza
11: Professor Delphin Rwegadsira
12: Professor Justinian Rweyemamu
13: Professor Letice Rutashobya
14: Professor Clavery Mtesigwa UDSM
15: Prof Mwesiga Baregu
16: Prof Mushumbusi kibogoya UDSN
17: Professor mugyabuso Mulokozi UDSM
18: Professor Faustine Kamuzora
19: Professor Aurelia Ngirwa
20: Professor Kamuntu
21: Professor Chris Kamuzora
22: Professor Rwelamila NRF
23: Professor mark Rweyemamu Galv
24: Professor Kyaruzi SUA
25: Professor Joseph Kahamba
26: Prof Sylvest Kajuna kairuki University
28: Professor Erasmus Kaijage
29: Professor Hoses Rwegoshora
30: Professor Kami S P Rwegasira
31: Filbert Rwehumbiza
32: Professor Kamala
33: Professor Kairuki
34: Theonest Mutabingwa
35: Professor Mwemezi Rwiza Nelson Mandela University
36: Professor Kato Rugangila,
37: Professor Tumwesige
38: Professor Godwin Kaganda
39: Professor John Ruhangisa
40: Professor Benson Bagonza
41: Professor Rwegarulila
42: ProfessorJamindu Katima
43: Professor Batamuzi
44: Professor Mutayoba
45: Professor Bitegeko
46: Professor Jonathan Kabigumila
47: Professor Mutabingwa Theonest Kahangwa ,
48: Professor Kamazima M M Lwiza
49: Professor Joseph Buchweishaija
50: Professor Emanuel Babyegeya
51: Professor L.K Rutasiitara
52: Professor Richard W Rwechungura
53: Professor Egydius R Rwenyagila
54: Professor Benezet Mtayoba SUA
55: Professor B. A Rwezaura UDSM
56: Professor R.C Ishengoma
57: Professor Tibandebage
58: Professor W . Rugakingira
59: Professor Buberwa
60: Professor C. S Binamungu Mzumbe
61: Professional prof Bonaventure Rutinwa
62: Professor Alex M Mtalemwa Harvad University
63: Professor Deogratius Rutatora SUA
64.Prof Mutahaba
Orodha ni ndefu sana
 
Punguza utapeli ndugu maisha hayako hivo, refer vijana 500 juzi wamepigwa huko Moshi [emoji23][emoji23]
Utapeli hata ulaya upo mm nimewahi koswakoswa kutapeliwa German,na mtu hadi afanikiwe kutapeli vijana 500 ujue ni genius,mnywa rubisi anaweza?
 
Nauliza tu. Wachagga ni watanzania halisi ama wakimbizi?? Mbona wako tofauti na watanzania!!!!

Wachagga Wako kivyao kama wahindi. Kumkuta mchagga amechangamana na kabila lingine wanapiga story nadra mno, labda wachache sana. Hata katika maduka, workshop n.k hawezi ruka duka la mchagga mwenzie akaenda kumuunga msukuma, mzaramo, mhaya n.k, , wanachangiana wao kwa wao. Au ni mimi tuu nimeliona ilo????
Katika nchi hii hakuna sehemu isiyo na MCHAGA iwe mjini au Kijijin,Sasa wangekuw hawachangamani si wangekuwa Moshi tu? MCHAGA yupo kila Mahali kama hewa tembea Tanzânia yote wamejaa tena wamenunua na maeneo huko huko wanapopiga mishe
 
Wahaya wanaroho mbaya sana na majivuno, Mhaya anaweza kumchukia hata ndugu yake aliyezaliwa pamoja.

Mhaya akipata elimu anaongeza majigambo ili hali Mchanga ataiumia kujikwamua kimaendeleo.
Yah mhaya anamkomoa ndugu yake kabisa ikiwa amemzid uwezo roho mbaya mno aghalabu kila familia uhayani Ina mganga wake
 
Wahaya wanaroho mbaya sana na majivuno, Mhaya anaweza kumchukia hata ndugu yake aliyezaliwa pamoja.

Mhaya akipata elimu anaongeza majigambo ili hali Mchanga ataiumia kujikwamua kimaendeleo.
Yah mhaya anamkomoa ndugu yake kabisa ikiwa amemzid uwezo roho mbaya mno aghalabu kila familia uhayani Ina mganga wake ili kujikinga na kulogana
 
Wahaya wanaroho mbaya sana na majivuno, Mhaya anaweza kumchukia hata ndugu yake aliyezaliwa pamoja.

Mhaya akipata elimu anaongeza majigambo ili hali Mchanga ataiumia kujikwamua kimaendeleo.
Yah mhaya anamkomoa ndugu yake kabisa ikiwa amemzid uwezo roho mbaya mno aghalabu kila familia uhayani Ina mganga wake ili kujikinga na kulogana
 
Wadangaji professional ni wahaya refer Malaya maarufu dar waasisi ni wahaya[emoji3][emoji3]
Bora udangaji aisee. Sio kuolewa na kumuua mme wake.




Wachaga wa kiume sio watafutaji siku hiz ni mapunga hapa mjini.
Refer kinyaia , delicious, nk wachaga watupu.

Bila kusahau wanaume kuolewa huko arusha
 
Wapumbavu na wajinga wa Moshi ndo hujisifia mavyuo na mashule

Sisi tunajisifia idadi ya wasomi.
Kuna Publication iliyoeleza hotuba ya Enock Massawe akiwa mkuu wa Mkoa wa Kagera akieleza idadi ya Maprofesa Tanzania tokea imepata uhuru kufika 500 lakin kagera ina Maprofesa zaid ya 150 na 70% ya Maprofesa haob wakitokea Wilaya ya Missenye Tarafa Kiziba kwa (NSHOMILE) kifuatiwa na Wilaya ya ukerewe ambayo ina Maprofesa 24, wakifuatiwa na Kilimanjaro 21 Maprofesa tu
Na mikoa mingine mingine

Nikafanya kauchunguzi kwa Haraka nimepata hawa hapa, changamoto ni kwamba kuna Maprofesa wahaya wasiotumia majina ya kihaya, hivo hao sikuweza kuwatambua haraka,

Waliotambulika haraka ni hawa
1. PROF. BARONGO JUSTUS O
B.Sc. (UoN), M.Sc. (Queens), Ph.D. (McGill).
Email: jbarongo@uonbi.ac.ke
2. Professor L Barongo
Community Medicine: Professor
Contact Details:
(+264 61) 2065012
lbarongo@unam.na
3: Professor Feliciano Barongo mzumbe University
4: Prof Silas Lwakabamba is a Rwandan professor of Tanzanian
5: Professor Rwekaza Mukandala
6: Professor John Rwomushana
7: Professor Anna Tibaijuka
8: Professor Kesho Mushahara
9: Professor Kazaula
10: Professor Tibageza
11: Professor Delphin Rwegadsira
12: Professor Justinian Rweyemamu
13: Professor Letice Rutashobya
14: Professor Clavery Mtesigwa UDSM
15: Prof Mwesiga Baregu
16: Prof Mushumbusi kibogoya UDSN
17: Professor mugyabuso Mulokozi UDSM
18: Professor Faustine Kamuzora
19: Professor Aurelia Ngirwa
20: Professor Kamuntu
21: Professor Chris Kamuzora
22: Professor Rwelamila NRF
23: Professor mark Rweyemamu Galv
24: Professor Kyaruzi SUA
25: Professor Joseph Kahamba
26: Prof Sylvest Kajuna kairuki University
28: Professor Erasmus Kaijage
29: Professor Hoses Rwegoshora
30: Professor Kami S P Rwegasira
31: Filbert Rwehumbiza
32: Professor Kamala
33: Professor Kairuki
34: Theonest Mutabingwa
35: Professor Mwemezi Rwiza Nelson Mandela University
36: Professor Kato Rugangila,
37: Professor Tumwesige
38: Professor Godwin Kaganda
39: Professor John Ruhangisa
40: Professor Benson Bagonza
41: Professor Rwegarulila
42: ProfessorJamindu Katima
43: Professor Batamuzi
44: Professor Mutayoba
45: Professor Bitegeko
46: Professor Jonathan Kabigumila
47: Professor Mutabingwa Theonest Kahangwa ,
48: Professor Kamazima M M Lwiza
49: Professor Joseph Buchweishaija
50: Professor Emanuel Babyegeya
51: Professor L.K Rutasiitara
52: Professor Richard W Rwechungura
53: Professor Egydius R Rwenyagila
54: Professor Benezet Mtayoba SUA
55: Professor B. A Rwezaura UDSM
56: Professor R.C Ishengoma
57: Professor Tibandebage
58: Professor W . Rugakingira
59: Professor Buberwa
60: Professor C. S Binamungu Mzumbe
61: Professional prof Bonaventure Rutinwa
62: Professor Alex M Mtalemwa Harvad University
63: Professor Deogratius Rutatora SUA
64.Prof Mutahaba
Orodha ni ndefu sana
Acha kuchezesha Mkuu,kwamba Kilimanjaro yote iwe na maprofesa 24? Hahaha uchagani pekee tuna maprofesa zaidi ya 200 Bado upare,Tena Kuna senior professors wa mwanzo mwanzo kabisa include Prof isaria kimambo
Prof Godfrey mmari n.k
Nikitaja maprofesa wa uchagani hapa utalia
Kurunzi fazili hebu njooni muone kituko eti Kilimanjaro tuna maprofesa 24 tu eti
 
Acha kuchezesha Mkuu,kwamba Kilimanjaro yote iwe na maprofesa 24? Hahaha uchagani pekee tuna maprofesa zaidi ya 200 Bado upare,Tena Kuna senior professors wa mwanzo mwanzo kabisa include Prof isaria kimambo
Prof Godfrey mmari n.k
Nikitaja maprofesa wa uchagani hapa utalia
Kurunzi fazili hebu njooni muone kituko eti Kilimanjaro tuna maprofesa 24 tu eti
Maprofesa wa kichaga ni wachache bongo.
Maprofesa 200?[emoji23][emoji23][emoji23] Wa Nini labda vibanda vya mangi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapumbavu na wajinga wa Moshi ndo hujisifia mavyuo na mashule

Sisi tunajisifia idadi ya wasomi.
Kuna Publication iliyoeleza hotuba ya Enock Massawe akiwa mkuu wa Mkoa wa Kagera akieleza idadi ya Maprofesa Tanzania tokea imepata uhuru kufika 500 lakin kagera ina Maprofesa zaid ya 150 na 70% ya Maprofesa haob wakitokea Wilaya ya Missenye Tarafa Kiziba kwa (NSHOMILE) kifuatiwa na Wilaya ya ukerewe ambayo ina Maprofesa 24, wakifuatiwa na Kilimanjaro 21 Maprofesa tu
Na mikoa mingine mingine

Nikafanya kauchunguzi kwa Haraka nimepata hawa hapa, changamoto ni kwamba kuna Maprofesa wahaya wasiotumia majina ya kihaya, hivo hao sikuweza kuwatambua haraka,

Waliotambulika haraka ni hawa
1. PROF. BARONGO JUSTUS O
B.Sc. (UoN), M.Sc. (Queens), Ph.D. (McGill).
Email: jbarongo@uonbi.ac.ke
2. Professor L Barongo
Community Medicine: Professor
Contact Details:
(+264 61) 2065012
lbarongo@unam.na
3: Professor Feliciano Barongo mzumbe University
4: Prof Silas Lwakabamba is a Rwandan professor of Tanzanian
5: Professor Rwekaza Mukandala
6: Professor John Rwomushana
7: Professor Anna Tibaijuka
8: Professor Kesho Mushahara
9: Professor Kazaula
10: Professor Tibageza
11: Professor Delphin Rwegadsira
12: Professor Justinian Rweyemamu
13: Professor Letice Rutashobya
14: Professor Clavery Mtesigwa UDSM
15: Prof Mwesiga Baregu
16: Prof Mushumbusi kibogoya UDSN
17: Professor mugyabuso Mulokozi UDSM
18: Professor Faustine Kamuzora
19: Professor Aurelia Ngirwa
20: Professor Kamuntu
21: Professor Chris Kamuzora
22: Professor Rwelamila NRF
23: Professor mark Rweyemamu Galv
24: Professor Kyaruzi SUA
25: Professor Joseph Kahamba
26: Prof Sylvest Kajuna kairuki University
28: Professor Erasmus Kaijage
29: Professor Hoses Rwegoshora
30: Professor Kami S P Rwegasira
31: Filbert Rwehumbiza
32: Professor Kamala
33: Professor Kairuki
34: Theonest Mutabingwa
35: Professor Mwemezi Rwiza Nelson Mandela University
36: Professor Kato Rugangila,
37: Professor Tumwesige
38: Professor Godwin Kaganda
39: Professor John Ruhangisa
40: Professor Benson Bagonza
41: Professor Rwegarulila
42: ProfessorJamindu Katima
43: Professor Batamuzi
44: Professor Mutayoba
45: Professor Bitegeko
46: Professor Jonathan Kabigumila
47: Professor Mutabingwa Theonest Kahangwa ,
48: Professor Kamazima M M Lwiza
49: Professor Joseph Buchweishaija
50: Professor Emanuel Babyegeya
51: Professor L.K Rutasiitara
52: Professor Richard W Rwechungura
53: Professor Egydius R Rwenyagila
54: Professor Benezet Mtayoba SUA
55: Professor B. A Rwezaura UDSM
56: Professor R.C Ishengoma
57: Professor Tibandebage
58: Professor W . Rugakingira
59: Professor Buberwa
60: Professor C. S Binamungu Mzumbe
61: Professional prof Bonaventure Rutinwa
62: Professor Alex M Mtalemwa Harvad University
63: Professor Deogratius Rutatora SUA
64.Prof Mutahaba
Orodha ni ndefu sana
Acha kuchekesha Mkuu,kwamba Kilimanjaro yote iwe na maprofesa 24? Hahaha uchagani pekee tuna maprofesa zaidi ya 200 Bado upare,Tena Kuna senior professors wa mwanzo mwanzo kabisa include Prof isaria kimambo
Prof Godfrey mmari n.k
Nikitaja maprofesa wa uchagani hapa utalia
Kurunzi fazili hebu njooni muone kituko eti Kilimanjaro tuna maprofesa 24 tu eti
 
Yah mhaya anamkomoa ndugu yake kabisa ikiwa amemzid uwezo roho mbaya mno aghalabu kila familia uhayani Ina mganga wake ili kujikinga na kulogana
Hiv vichaa wanatoka wap huko Moshi Kama sio kufanyanyiana ulozi wa misukule[emoji23]
JamiiForums1092745781.jpg
 
Ishu ni wew mtu mwenyew uwe na hela zako. Mambo ya mikoa achia serikali.


Mkoa unaweza ukawa Tajiri lakin wew maskini wa kutupa
Hahaha acha fiksi mkoa kuwa ktk uchumi mzuri wanaangalia vigezo vya watu ktk nyanja zifuatazo
Huduma za jamii
Life expectancy
Per capita income
Makazi Bora
Infant rate nk
Kagera hivyo vitu vipo low ndio maana ni mkoa wa 9 kwa umaskini as now
 
Ishu ni wew mtu mwenyew uwe na hela zako. Mambo ya mikoa achia serikali.


Mkoa unaweza ukawa Tajiri lakin wew maskini wa kutupa
Hahaha acha fiksi mkoa kuwa ktk uchumi mzuri wanaangalia vigezo vya watu ktk nyanja zifuatazo
Huduma za jamii
Life expectancy
Per capita income
Makazi Bora
Infant rate nk
Kagera hivyo vitu vipo low ndio maana ni mkoa wa 9 kwa umaskini as now
 
Back
Top Bottom