๐๐furahia maisha hata kama ni magumu ndugu yangu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119]
Siku moja nilikuwa karibu na club usiku kucha,,aisee ule mtiririko wa nyimbo ni bandia bandua [emoji119]hakuna kupumzika.
Ila wewe dada ni comedian [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi niliposoma ile stori nilijaribu kuvaa viatu vya kaka[emoji22]Simjui smart lakini inaonekana ni mkaka mmoja mstaarabu mno[emoji4][emoji4].
Sipendagi watu wastaarabu kama smart waumizwe ujue[emoji41]
๐๐Ohoo kumbee..Ni kauli ambayo alipenda kuitumia jamaa.
Mbali na ile ya
"Ngoja waje wakupe mwongozo"
Ile stori iliniumiza sanaWe mtakatifu wacha masengenyo hebu twende tukaselfike kule
[emoji817][emoji16][emoji16]furahia maisha hata kama ni magumu ndugu yangu.
Ukifuatilia Gemini [emoji751]๏ธ
Inasemekana % kubwa tu napenda kuwa na furaha..
Watu hawana muda wa kutibu majeraha..ya ni kikitoka chombo kinaingia chombo hakuna muda wa kupoteza kabisaMimi niliposoma ile stori nilijaribu kuvaa viatu vya kaka[emoji22]
Hasira ilinibana nikatamani nimpige huyo mwanamke jamani[emoji35]
Ila jamaa ana kapo mpya[emoji7],binti fureshi mrembo .. Mungu awasaidie wafike mbali
Eti kikitoka chombo kinaingia chombo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Watu hawana muda wa kutibu majeraha..ya ni kikitoka chombo kinaingia chombo hakuna muda wa kupoteza kabisa
S nae asije kuleta matangazo kama ya aliyepita..wajuba wakaanza kuingia kazini
Mniombee namm ...Eti kikitoka chombo kinaingia chombo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Eti wajuba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Changamka mkuuMniombee namm ...
ni kijana safi ila hujuma za hapa na pale zinarudisha status "single"
(hujuma za hapa na pale zinarudisha status "single")Changamka mkuu
Limeishaa hilooTukale vyuku baby
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji4]
Ila jf watu wabaya..
Walikuwa wanasema mtaachana tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
๐๐๐Wewe na mimi tumebaki singleKwahiyo mimi ndio sina humu ama
Bhas mmalizaneee๐๐๐๐๐Wewe na mimi tumebaki single
Na matarajio ndiyo yanayoumiza wengi(hujuma za hapa na pale zinarudisha status "single")
nahisi expectations za wengi zinakuwa kubwa kuliko uhalisia ...
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mna mambo lakini ๐๐๐[emoji23][emoji23]
Siyo mimiMna mambo lakini [emoji3][emoji3][emoji3]