Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Hivi Warumi amefariki? Niliona rip kwenye uzi fulani.
 
Jamaa alikuwa analishwa mbususu ya mke wa mjeda alie mission huko Kati

Ana bahati Sana mjeda angekujua angefumua ubongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila wanawake ni hatari[emoji1787][emoji1787]
 
Futa tu simple kwani wakati na comment nilitoa taarifa? Dead man or Dead mind
Basi nakupa nafasi ya upendeleo sita futa ila usiweke comment za namna hii jukwaani.
Wanasema bora kukaa kimya
 
Basi nakupa nafasi ya upendeleo sita futa ila usiweke comment za namna hii jukwaani.
Wanasema bora kukaa kimya
😂😂😂😂😂 Haya mkuu we endelea na utafiti wako bhn ila Asante kwa nafasi ya upendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…