Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naye uliingia choo cha ahule msingi mkuu, maisha haya[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
 
Hujasoma bibiye aliweka uzi wake hapa kwamba yeye ni mama wa watoto wawili na ni mke wa mjeda...

Unless kama unataka tumlengeshe mjeda kwamba Dead Man ndio Smart aje akufumue medula oblongata...
Sikubahatika kuusoma/kuuona
Labda ukiupata nivutie niusome
 
Tatuta nyuzi za bi mkubwa kwenye profile yake, utauona huko kama hakuomba ufutwe...
Ngoja nianze kuusaka sema ID yake ame limit hapo ingerahisisha upakuaji wa mada zake.
 
Back
Top Bottom