USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba kashajibebea Shunie halafu mimi nabaki kung'aza sharubu humu.Watu hawana muda wa kutibu majeraha..ya ni kikitoka chombo kinaingia chombo hakuna muda wa kupoteza kabisa
S nae asije kuleta matangazo kama ya aliyepita..wajuba wakaanza kuingia kazini
Eti umeachika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]komenti zahumu nasoma afu nacheeeekaaa mpaka basi!! [emoji1732][emoji1732][emoji3577][emoji3577]!!
[emoji15]
Mkuu mbona unashangaa ?[emoji15]
Mjeda angemkuta Smart mwamba angemwagiwa ndoo ya mafuta live live.komenti zahumu nasoma afu nacheeeekaaa mpaka basi!! [emoji1732][emoji1732][emoji3577][emoji3577]!!
We bavicha umekimbilia huku nowadays
USSR
Nashangaa sasa nanii na nanii si marafiki wa kutupwa?Mkuu mbona unashangaa ?
Wanasema ukiachwa achika sasa nyie na maswali yenu pambe aargghh sijui hata nijibuje kwa sababuuuu!!!!!!!Eti umeachika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maisha hayaendi hivyo broNashangaa sasa nanii na nanii si marafiki wa kutupwa?
KumbeeeMaisha hayaendi hivyo bro
Ndiyo hivyo fursa huwa hazichezewiKumbeee
[emoji16]
Trooobaah!!!,[emoji15][emoji15][emoji15]