Kunani Lissu na mkewe? Mbona hakumsindikiza airport Ubelgiji, wala hajaja kumpokea airport DSM?

Kunani Lissu na mkewe? Mbona hakumsindikiza airport Ubelgiji, wala hajaja kumpokea airport DSM?

Mzee Mtei ni mwasisi wa Chademana mke halali wa Mbowe ni mwanfamilia wa Mtei.Pamoja na Mh.Mbowe kuongoza Chadema miaka 20 bado anao uwezo wa kusukuma harakati za kushika Dola. Wale kwa sasa wanaojipigia chapuo ya kupata uongozi watulie sana. Somen ihistoria , hata baba yetu wa Taifa Marehemu Mzee Nyerere analitambua mchango wa Mzee Mtei ktk kupata uhuru wa Tz na alipewa Uwaziri wa Fedha.Wako wengi hata marehemu Waziri Ruth Lameck.
 
Kukiss na mmewe wa mtu, ni utamaduni wa kibelgiji?

Mtu yupi Tena mkuu?huyo anayekiss naye ndo mkewe!!
Kuwa na wanawake wawili Kuna ubaya gani?

Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja.
Mwanaume mwenye nguvu humiliki wanawake wawili na zaidi.
 
Na yule mwenzako kule naye kaamzisha uzi wa kwa nini Mbowe hajaenda kumpokea Lissu uwanja wa Taifa!!

Yaani manauliza maswali ya kipuuzi mpaka basi!
IMG-20230125-WA0027.jpg

Jimama la kizungu
 
Hivi tukiamua kuja kupekenyua na yale ya kwenu, kuna mtu atabaki salama kweli? Au kwa sababu mambo yenu mnafanyia gizani, basi mnajiona mna haki ya kunyooshea vidole wengine!
Usilie mkuu, huyo ndio first lady mpya, jimama la kizungu, ndio maana Lissu aling'an'gania ulaya
 
Usilie mkuu, huyo ndio first lady mpya, jimama la kizungu, ndio maana Lissu aling'an'gania ulaya
Wabongo wape tu picha. Maelezo ya hiyo picha watajazia wenyewe.

Usikute huyo mzungu alikuwa ndiyo mlezi wake huko Ubelgiji! Ila kwa sababu wameagana kwa style hiyo, basi Bongo ni story.
 
Kwa hiyo mwamba ashamtema mkewe aliyemuhudumia kipindi chote cha maswahiba yaliyomkuta. DAH
Anatafuta permanent permit so lazima hiyo hatua apite.
Tulisema hapa ukimbizi ni kuanza hatua tu process ni ndeeefu mkeo utamsahau.
Nani anayemjua tundulissu huko zaidi ya wala vibawa wengine huko mitaani.
Akija bongo ndo wanaenda kuandamana kumpokea
 
Back
Top Bottom