Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Misimu miwili nyuma yanga walikuwa moto sana kwenye usajili msimu huu mbona kimya sana kunani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tulia mkuuMisimu miwili nyuma yanga walikuwa moto sana kwenye usajili msimu huu mbona kimya sana kunani?
View attachment 2681024
Raisi alisemaMisimu miwili nyuma yanga walikuwa moto sana kwenye usajili msimu huu mbona kimya sana kunani?
View attachment 2681024
Yanga anaziba penye mapungufu na sio kujenga timu mpya, usajili wa yanga autozidi wachezaji 4, kwa maana iyo awana haraka yoyote kwakuwa kikosi chao bado kipo vizuriMisimu miwili nyuma yanga walikuwa moto sana kwenye usajili msimu huu mbona kimya sana kunani?
View attachment 2681024
WamekuaMisimu miwili nyuma yanga walikuwa moto sana kwenye usajili msimu huu mbona kimya sana kunani?
View attachment 2681024
Kabla ya kulazimisha Yanga wafanye usajili ungetuambia kwanza Timu ina mapungufu eneo gani. Timu imechukua ubingwa msimu uliopita na bado haijaondokewa na wachezaji wengi muhimu lakini mnalazimisha ifanye usajili wa fasheni. Kwa asilimia 90 Wana Yanga tunalizika na kikosi.Hela zimeishia kwa kumbakiza mayele
Wamesajiri, bado kuwatangazaMisimu miwili nyuma yanga walikuwa moto sana kwenye usajili msimu huu mbona kimya sana kunani?
View attachment 2681024
Unateseka ukiwa wapi Kijana wa Rage? Kwani dirisha la usajili limeshafungwa? Halafu mbona Yanga itasajili wachezaji wachache sana!Misimu miwili nyuma yanga walikuwa moto sana kwenye usajili msimu huu mbona kimya sana kunani?
View attachment 2681024