Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliYanga inajua fika kutokana na moto wa Azam na Simba msimu unaokuja haiwezi kupata mafanikio juu yao, pia inajua haiwezi kufikia mafanikio kama iliyoyapata kindondokela msimu uliopita. NDIO MAANA INAONA HERI IPIGE BLABLA KTK USAJILI
Nini sasa kinachowafanya kunywea katika kusajili tofauti na wenzao Azam na SimbaSio kweli
Yanga wanajua wafanyachoNini sasa kinachowafanya kunywea katika kusajili tofauti na wenzao Azam na Simba
Huyo Rais wenu si ndiyo alikuwa anajitapa anaenda front mwenyewe kusajili, mbona safari hii yupo hapa hapa hadi anaporwa wachezaji airport?Raisi alisema
Msimu huu mambo kimya kimya
Kwanzia juma 3 vyuma vinashuka
Pengo la kisinda,mori mori,nani anaziba au hujui kuwa wamepewa thank uHatuna mapengo sisi tusajiri nani?
Sasa hivi Yanga inshindnnia makombe; haishindanii usajiriMisimu miwili nyuma yanga walikuwa moto sana kwenye usajili msimu huu mbona kimya sana kunani?
View attachment 2681024
Nipe mrejesho
Hauna app ya yanga??Nipe mrejesho