Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Wafanyabiashara Wana hela sana mfanyabiashara mmoja unaweza kukuta anatengeneza faida ya million 30 hapo kariakoo kwa mwezi unazani hiyo ni mishahara ya wafanyakazi wangapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli wana pesa na ndio wenye utajiri mkubwa, wapo wanaopiga milioni 30 daily,Wafanyabiashara Wana hela sana mfanyabiashara mmoja unaweza kukuta anatengeneza faida ya million 30 hapo kariakoo kwa mwezi unazani hiyo ni mishahara ya wafanyakazi wangapi
Ukiacha na kubwia huo unga una kazi gani nyingne mpaka uwe unalipa kiasi cha kutajirisha watu namna hiyo?Hata wafanyabiashara wapo wanaokwepa kodi, wauza unga wanaosafisha pesa kwenye biashara halali, nk