Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
mkuu ego, hebu acha kuwatibulia magamba mchongo wao kwa maana hicho ndicho kidanganyio chao kwenye katiba.
Mtumwa hudhani kila anayekutana naye njiani ni mtumwa, mimi ni mtu huru mwenye mawazo huru. Wewe ni mtumwa hivyo huna mawazo huru, ndiyo maana unatetea wezi wa raslimali za nchi-hivyo lazima ufuate matakwa ya Bw. wakoKAFULILA ANAINGIAJE HUMU MWIZI SI WEWE ULIYETUMWA NA CHADOMO!! Kwani unadhani wana jf hawakujui kama umetumwa?
Jifunze kwa waliofanikiwa, Bw.Lee is a good exampleNYIE MMEISHIWA HOJA MNAANZA KUMPA HOJA JAMAA ETI ANAPIGA DEAL, INAMANA HII JF NIMYA BABA YENU KIAC HAMTAKI WATU WAWAPINGE UOZO NA UWONGO MNAOUONGEA HUMU NDANI? Wewe na Lukindo lenu moja mnaonekana mmetumwa na mnapiga deal tu humu ndo mana mnakuwa wabishi kama mbogo, hamna hoja mnapiga makelele tu.
Jifunze kwa waliofanikiwa, Bw.Lee is a good example
SI NDO HAO AKINA LEE NA UKAWA WANAOKUTUMIKISHA NA KUKUFANYA UWE MBISHI NA KUTOKUBALI UKWELI WA MAMBO NA KUWA KAMA MBOGO! We unadhani mzima kichwani humo? Kazi yako kutaja majina ya watu tuu ndo mana nakwambia wewe ni kibaraka wao. Pole sana kuwa mzalendo wewe au we ni ISI?
Hivi una mfahamu Bw.Lee kweli, au unaropoka tu? kwa taarifa yako Lee ni Yoshua wa Singapore. Hakuna kiongozi hapa Tanzania anayeweza kujifananisha na Bw. Lee. Sisi hapa kwetu tuliwahi pata Musa wetu ila Yoshua bado hajapatikana.
Na kwa katiba hii ya chenge, ambayo itapitishwa muda si mrefu sana ujao, tuna safari ndefu kumpata Yoshua wetu wa kutuvusha mto yordani na kutuingiza Nchi ya Kanani. Ila kwa mtindo huu ninaouona ambao kuna watu mnajiita mpaka majina yenye laana, majina ya Ebola, basi huenda taifa letu lina ebola ya ubongo ndiyo maana tunashabikia hata visivyo maana. Tunawashabikia mpaka wezi wa raslimali za nchi, mpaka twiga wanapanda ndege tena za jeshi hatuwaoni. Wezi wa escrow wanalakiwa kama wafalme, maskini wanapigwa na kubambikiziwa kesi na polisi wakidai haki zao. Wakilalamika wanaambiwa ni wachochezi, tuna safari ndefu kweli, ila tutafika siku moja katika nchi ya Kanani.
nikuulize swali: ulishiriki yale maandamano kule Dodoma?
WEWE USIPENDE KUWEKA MAMBO YA DINI NA SIASA, WEWE NDO ULISHIRIKI HAYO MAANDAMANO, MIMI KUZALIWA KWANGU CJAWAHI NA CTOWAHI KUFANYA UPUUZI HUO WA KUANDAMANA, WE VP UNAAJIFANYA NABII BONGO HAPA! Khaaaaa weka hoja acha mbwembwe wewe.
Lo, ulilelewa na nani wewe aliyekufundisha matusi haya maana hata waliolelewa na ulimwengu hawakufikii!wewe kidudu sura yenyewe kama huyo ndege ulomweka avatar, huna hoja unabwatuka as if akili yako imeharibiwa na chonga.
hi ndio ishu nzima!! Ukweli unaweza kufichwa na wajanja wachache kwa kisingizio chochote. Kikubwa ni jinsi ya kusimamia mambo yaende ambayo ndio katiba.
Ila kwa style hii kutegemea mabadiliko ni kama ndoto.
Naendelea kuwatia shime mlioko mbele katika vita hii ngumu tuko nyuma yenu. Msikate tamaa historia itatuhukumu
mkuu ego, hebu acha kuwatibulia magamba mchongo wao kwa maana hicho ndicho kidanganyio chao kwenye katiba.
ni vema ungefunguka kaka tukusikie labda una point za msingi kuhusu katiba inayopendekezwa.!!
Nitajitahidi. Naomba ustahimilivu lama nitashindwa kujieleza.
Binafsi nashindana na nafsi yangu kukata tamaa au kuendelea na vita ya kupigania amani haki na maendeleo ya mtanzania.
Kila mtanzania anatakiwa ajisikie kama mtu muhimu hapa tanzania. Lakini sasa kuna jinsi tumeshikiliwa na kitu fulani hadi kuona kama mipango muhimu si haki itokee kwa mwananchi'wa kawaida'
Neno siasa badala ya kuwa utashi mwema kwa mama Tanzania limekuwa kichaka cha kujificha wenye kutaka agenda zao za kibepari zihalalishwe au kufumbiwa macho na sheria.
Nilitamani wateule wetu wachache waongozwe na utakatifu wa chombo hiki katiba ambacho wamepewa jukumu kukitengeneza lakini kwa udhaifu wa nafsi zao wanajikuta wanapigania masilahi binafsi yao au ya kizazi chao.
Kuanzia mwanzo tumeona maoni na mawazo ya kuleta haki na uwazi katika mchaakato vikijadiliwa katika vikao tofauti vyenye utashi tofauti.
Itakuwaje amani iwe tunu haki isiwe tunu? Itakuwaje kama tusipoenzi ufanyaji kazi kwa bidii na uadilifu???
Tukiwa kwenye familia zetu maadili ya kwanza ni imani bidii uaminifu.
Inakuwaje maoni yetu kwa wingi wetu yanapuuzwa na watu wachache waliopigiwa kura na watu wachache watusemee?
Tanzania tumetoka mbali na safari ni ndefu.
Hakuna msafi ila kuna agenda safi.
Sipati shida kusimamia agenda nzuri toka kwa mtu mwenye historia chafu.
Wala kupinga agenda ya ovyo ya ndugu au rafiki yangu mpenzi.
Tusiogope, tusimamie agenda nzuri. Historia ituhukumu.
Tunaambiwa mwenye haki ataishi milele.
HAKI HAKI HAKI.
Tanzania
lo, ulilelewa na nani wewe aliyekufundisha matusi haya maana hata waliolelewa na ulimwengu hawakufikii!
katima tunu umekuta ya haki? Au haki sio jambo la maana sana kama utulivu? Huo ni mtazamo wa katiba ya kuwekewa au ya kuwekwa?NAKUSHAURI UKAISOME VIZURI KATIBA INAYOPENDEKEZWA KATIKA SURA YA KWANZA IBARA YA 5 UTAKUTA MAMBO YA TUNU, KISHA SOMA IBARA YA 28 UTAKUTANA NA MAMBO YA MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI N.K ILI HOJA ZAKO ULIZOZIWEKA HAPO JUU UPATE KUPATA MAJIBU KWA URAHISI ZAIDI. Upo hapo?
Asante kwa kunipa pole.Kweli kabisa afu Huyu Haika nampa pole sana kwa kuvamia safari asiyokuwa na uwezo nayo,anajifanya unajua kupinga kila kitu kinachomjia mbele yake,Haika you dont see the difference, haaa huna haya mtoto wa kike kuvaa migauni mikubwa kazi kuchanganya IBara hili kule lile huku afuu unaanza kuleta porojo zako kama vile unacheza kamali!
tutambue kuwa kama hakuna mahakama iliyo huru basi hata kama katiba itatupa haki yawezekana haki hiyo tusiipate, kama hakuna bunge lenye nguvu na lenye wabunge wanaojua majukumu yao, wanaotekeleza majukumu yao kusimamia serikali haitakuwa rahisi kuisimamia serikali ili ituretee maendeleo,
moja ya mambo ambao yanaleta vurugu nyingi katika nchi ni nafasi za uteuzi anazopewa raisi kuwateua watendaji mbalimbali na hapa wengi hijukusanya kutengeneza makundi kwenda kutafuta nafasi hizi. Ni kuhatarisha amani ya nchi kwa kuweka nafasi nyingi katika uteuzi wa raisi. Lakini pia ni kuleta uzembe na ujanja kwani wapo wananchi wengi wanakaa kutafuta fitina, vijembe na kujuana katika kutafuta nafasi hizi huku wakiwa wababaishaji watupu wasioweza kufanya lolote. Kundi lao likishapata uraisi huwa ni vigumu kuwaepuka watu hawa kwani wanazombinu hata za kuwatumia wananchi kugeka watu wanaowatumikia kwa kujenga fitina.
Kuepuka haya ni kuweka nafasi chache za juu pengine za nafasi ya uwaziri peke yake kuwa ndiyo zinateuliwa na raisi na nyingine zitafutwe kiushindani.
Lakini tusiwawekee watu hawa mifumo ya kuwalinda kama hawafanyi kazi.
Bunge liwe huru ili lisimamie,
vipo vyombo havifanyi kazi kwa mifumo tuliyokuwa nayo huko nyuma.
Leo hii vipo vyombo vya kushughulikia maadili ya umma havifanyi kazi mpaka viagizwe, kwa nini tusivipe uhuru viondokane na kujikuta vikitaka kuchunguza mara refa wa mtu fulani ndiye anachunguzwa hivyo wanafungwa mikono.
Mashirika ya umma yanakufa tatizo ni mifumo ambayo haisimamiani na kuwajibishana.
Haiwezekani atc imekufa, hakuna aliyewajibishwa, mifumo inarejesha lawama kwa raisi maana yeye anateua watu watatu katika mashirika na kila mmoja anajiona mteule wa raisi. Bodi za makampuni ni mabosi wa wakurugenzi watendaji lakini hawa wanachukua posho tu na wengine wanakoromewa na wakurugenzi.
Hivi ni nani anayetaka mashirika yetu kufa, najua wapo wenye biashara zao lakini ni wachache na kwa kuweka mifumo mibovu taifa linadidimia kiuchumi hivyo hata wao biashara zao haziwezi kukua.
Tukibadilisha mifumo taifa linaweza kwenda mbele lakini wengine akili zimeganda wanafikiria hatari tu hawaangalii faida na bila kuwa risk taker hatuwezi kupuga hatua.
Asante kwa kunipa pole.
Nimeipokea kwa shukrani.
Ila ni maoni yangu. Toka moyoni mwa Mtanzania mmoja, mimi.
Ila siombi samahani kwa kutofautiana na wewe.
Ningefurahi sana ungekuja na maelezo ya kwanini hayo mambo hayapo hapo. Je ni muhimu kila mtanzania ajitambue kuwa kuwa na bidii na kuwajibika ni kitu kinachotakiwa kimsingi kuliko vyote? Kuwa si kwa bahati tunasogea mbele kama taifa ila ni kwa wote kupeana haki?