Kundi la Simba last season timu zote zimetolewa, je simba nao kufuata mkumbo huo leo?

Kundi la Simba last season timu zote zimetolewa, je simba nao kufuata mkumbo huo leo?

Tuone sasa na kundi la Yanga last season (la Klabu Bingwa):
i)
ii)
iii)
iv)
Last season Yanga ni Wana fainali, wewe wa wapi?
 

Attachments

  • FB_IMG_1686607410508.jpg
    FB_IMG_1686607410508.jpg
    41.5 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1686587668096.jpg
    FB_IMG_1686587668096.jpg
    37.4 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1686311253025.jpg
    FB_IMG_1686311253025.jpg
    53 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685989825969.jpg
    FB_IMG_1685989825969.jpg
    35 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685867375406.jpg
    FB_IMG_1685867375406.jpg
    25.5 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685865513846.jpg
    FB_IMG_1685865513846.jpg
    74.9 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685861984870.jpg
    FB_IMG_1685861984870.jpg
    40.5 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685849272973.jpg
    FB_IMG_1685849272973.jpg
    54.2 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685829131664.jpg
    FB_IMG_1685829131664.jpg
    41.2 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685811806971.jpg
    FB_IMG_1685811806971.jpg
    27.6 KB · Views: 1
Unaahiriki vipi bila kupata nafasi? Si vibonde hao?

Au mmesahau timu zilizokutana na Yanga kwenye msimamo wa ligi zao kama walikuwa chini mliwaita vibonde?

Sasa msubiri leo kuungana na vibonde wenzenu, ni swala la muda tu.
Wabeba tunguri mna kazi sana,mwisho mtakufa kwa roho mbaya
 
Hapo utopolo anawatamani jwaneng Galax na medeama ila waambieni hatokutana nao kundi moja kwasababu atakua nao pot namba 4 au unaweza ita pot la vibonde.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Imewachukua Miaka 25 kufika Makundi.

Clement Mzinze Alikuwa hajazaliwa.
Tulianzia kuweka heshima huku, then tunabeba kombe la champions league.
 

Attachments

  • FB_IMG_1685989825969.jpg
    FB_IMG_1685989825969.jpg
    35 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685867375406.jpg
    FB_IMG_1685867375406.jpg
    25.5 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685865513846.jpg
    FB_IMG_1685865513846.jpg
    74.9 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685861984870.jpg
    FB_IMG_1685861984870.jpg
    40.5 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685849272973.jpg
    FB_IMG_1685849272973.jpg
    54.2 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685829131664.jpg
    FB_IMG_1685829131664.jpg
    41.2 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685811806971.jpg
    FB_IMG_1685811806971.jpg
    27.6 KB · Views: 1
Za ndaniiii kabisa makolo hawajafanya dawa pale chamazi leo kupigwa nje nje

Vamos power dynamos
 
Hapo utopolo anawatamani jwaneng Galax na medeama ila waambieni hatokutana nao kundi moja kwasababu atakua nao pot namba 4 au unaweza ita pot la vibonde.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mbumbumbu kama Rage alivyosema.

Jwaneng wamewatowa nyinyi kwa kuwapiga 3 kwa Mkapa

Jwaneng wameingia makundi kwa kuwatowa wababe wenu Orlando Pirates, ni kwa nini huna adabu na huipi heshima yake Jwaneng!
 
Back
Top Bottom