kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Kustaarabika ni kuwa na nini?Nimeupokea ushauri.
Japo arusha inawatu hawajastarabika kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kustaarabika ni kuwa na nini?Nimeupokea ushauri.
Japo arusha inawatu hawajastarabika kabisa.
Kwaiyo kundi la wadudu ndo wenye exposure kwa huko chuga?Mikoa tofauti lazima mambo na desturi tofauti,hao wanaotukana wao wana exposure gani?na ujanja wao umeleta faida gani kwa nchi
Yaani mtu kajifungua Tandale,bonyokwa huko anaona wenzie washamba 😄😄😄
Eleza exposure ni kua na nini?Kwaiyo kundi la wadudu ndo wenye exposure kwa huko chuga?
Ulimbukeni ni mwingi sana kwa wengi hapa Arusha.Mimi nimeongea hadi mate yamekauka, sikutegemea kama makonda angekuja kuwapa hype watoto wajinga wale, ona sasa watu wa Arusha tunatukanwa na wajinga wengine kwa ajili ya hao wajinga.
Imenisaidia nikae kwenye vikao vya kuamua mambo ya msingi ya hili taifa ambayo wapumbavu kama wewe hauwezi hata kujua kama vinafanyika.Exposure yako imekusaidia nini wewe?
Exposure uliyonayo ina faida gani kwenye nchi hii
Makonda kafanikiwa kuionyesha dunia sura na tabia halisi za vijana wa Arusha.Mimi nimeongea hadi mate yamekauka, sikutegemea kama makonda angekuja kuwapa hype watoto wajinga wale, ona sasa watu wa Arusha tunatukanwa na wajinga wengine kwa ajili ya hao wajinga.
Panya road...Arusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA.
Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo kimojawapo cha TABIA ZA KISHAMBA ZA WATU WA ARUSHA.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuvutiwa na UJINGA wa hivi.
Pia nikiwaangalia hawa vijana wa hovyoo inasababisha NIMTAFAKARI LEMA NA SABAYA huenda background yao ni kama hii maana nao wanapenda mafujofujo na ubabe
Ha ha ha!Arusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA.
Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo kimojawapo cha TABIA ZA KISHAMBA ZA WATU WA ARUSHA.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuvutiwa na UJINGA wa hivi.
Pia nikiwaangalia hawa vijana wa hovyoo inasababisha NIMTAFAKARI LEMA NA SABAYA huenda background yao ni kama hii maana nao wanapenda mafujofujo na ubabe
😝😝😝Jf kila mtu mkubwa,wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengineImenisaidia nikae kwenye vikao vya kuamua mambo ya msingi ya hili taifa ambayo wapumbavu kama wewe hauwezi hata kujua kama vinafanyika.
Mshamba hawezi kumshangaa mshamba mwenzieNi wewe unawaona hivyo ila wale jamaa haimaanishi arusha yote iko hivyo. Ni kundi dogo sana. Pili wakazi au wenyeji hawana shida nao. Wewe unaona ni washamba, wenye jiji lao hawana shida nao kabisa. Agree to disagree kila sehem iko tofauti
Kama arusha nzima ingekuwa washamba basi wangekuwa mkoa mmoja maskini wa kutupwa maana ushamba na umaskini ni pachaMshamba hawezi kumshangaa mshamba mwenzie
Sawa, na wewe huna exposure, thats undeniable fact.😝😝😝Jf kila mtu mkubwa,wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine
Huna lolote
Unatuchukuliaje mkuu😁😁😁Imenisaidia nikae kwenye vikao vya kuamua mambo ya msingi ya hili taifa ambayo wapumbavu kama wewe hauwezi hata kujua kama vinafanyika.
Wadudu once again!Arusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA.
Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo kimojawapo cha TABIA ZA KISHAMBA ZA WATU WA ARUSHA.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuvutiwa na UJINGA wa hivi.
Pia nikiwaangalia hawa vijana wa hovyoo inasababisha NIMTAFAKARI LEMA NA SABAYA huenda background yao ni kama hii maana nao wanapenda mafujofujo na ubabe
Kwahiyo kila tajiri ni mjanja,??Kama arusha nzima ingekuwa washamba basi wangekuwa mkoa mmoja maskini wa kutupwa maana ushamba na umaskini ni pacha
Akili yako imejaa matope,huna loloteSawa, na wewe huna exposure, thats undeniable fact.