Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Wakuu,
Hapa duniani Kuna Imani nyingi, Kuna watu ambao hawaamini Mungu (atheists), Kuna waislam,Kuna wabudha. Kuna wakatoliki,wasabato na Kuna hawa wahusika wenyewe (walokole na wengineo).
Ninapenda kujua mitazamo yenu juu ya Hawa watu kunena kwa lugha.
Je ni Mungu au sio?
A) Wanaosema ni Mungu (walokole nk.)
Mechanism ikoje? Ukiwa unanena unajisikiaje? Je unajielewa unachosema?Nani anacontrol mdomo wako?Unapanga cha kuomba? Kuna faida gani?
B) Wanaosema si Mungu
Mechanism ikoje? Ni kweli wananena au usanii tu? Je nini hufanyika pale? Kwanini walokole wengi waumini wa kawaida tu nao wanene? Kuna siri gani nyuma ya kunena kwa lugha? Je wanajitambua au wanatawaliwa na nguvu nje ya akili Yao? Ni nguvu gani hiyo? Nini huendelea kwenye ubongo wa mtu pale anaponena kwa lugha?(mental state)
Uhakika Bro Mshana Jr Tate Mkuu adriz Che mittoga Walker Water Smotor Surya FaizaFoxy KENZY Mcqueenen Kiranga mwakabonao CAPO DELGADO Blood of Jesus
Hapa duniani Kuna Imani nyingi, Kuna watu ambao hawaamini Mungu (atheists), Kuna waislam,Kuna wabudha. Kuna wakatoliki,wasabato na Kuna hawa wahusika wenyewe (walokole na wengineo).
Ninapenda kujua mitazamo yenu juu ya Hawa watu kunena kwa lugha.
Je ni Mungu au sio?
A) Wanaosema ni Mungu (walokole nk.)
Mechanism ikoje? Ukiwa unanena unajisikiaje? Je unajielewa unachosema?Nani anacontrol mdomo wako?Unapanga cha kuomba? Kuna faida gani?
B) Wanaosema si Mungu
Mechanism ikoje? Ni kweli wananena au usanii tu? Je nini hufanyika pale? Kwanini walokole wengi waumini wa kawaida tu nao wanene? Kuna siri gani nyuma ya kunena kwa lugha? Je wanajitambua au wanatawaliwa na nguvu nje ya akili Yao? Ni nguvu gani hiyo? Nini huendelea kwenye ubongo wa mtu pale anaponena kwa lugha?(mental state)
Uhakika Bro Mshana Jr Tate Mkuu adriz Che mittoga Walker Water Smotor Surya FaizaFoxy KENZY Mcqueenen Kiranga mwakabonao CAPO DELGADO Blood of Jesus