Hali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
wewe veeepe!!!! kachukue dawa ya kuulia panya au kunguni,,,changanya na K-VANT kubwa ,,,,,,ingia kitandani,,,,kunywa yote alaf uwe na komoni au dengerua pembeni kama kilainishi,,,,,shushia hiyo kwa mkupuo,,,,,then jilaze kitandani,,,,,,siku ya ufufuo tukionana mbinguni utanishukuru!!!