Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa Muislam, uwe na mawasiliano ya moja kwa moja na Muumba wako.Hali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
Kuwa na mahusiano na muumba ni mpk uwe muislamu?Kuwa Muislam, uwe na mawasiliano ya moja kwa moja na Muumba wako.
Naam, ndiyo dini ya pekee kwa Mwenyezi Mungu.Kuwa na mahusiano na muumba ni mpk uwe muislamu?
Hahahaha,sielewiNaam, ndiyo dini ya pekee kwa Mwenyezi Mungu.
Sasa bila kujisalimisha kwake unajisalimisha kwa nani mwengine? Au huelewi maana ya kuwa Muislam?
Ushawahi kuwasiliana na Muumba wako?Kuwa Muislam, uwe na mawasiliano ya moja kwa moja na Muumba wako.
Uislamu ni kujisalimisha kwa Muumba wetu mmoja tu. Waislamu ni wa Mungu mmoja na wanaabudu Mungu mmoja, mwenye kujua yote, ambaye kwa Kiarabu anajulikana kama Allah. Wafuasi wa Uislamu wanalenga kuishi maisha ya utii kamili kwa Mwenyezi Mungu. Wanaamini kwamba hakuna kitu kinachoweza kutokea bila idhini ya Mwenyezi Mungu.Hahahaha,sielewi
AlhamduliLlah, Kila siku mara tano nawasiliana nae.Ushawahi kuwasiliana na Muumba wako?
Tupe mrejesho wa jinsi mlivyo kutana uso kwa uso na kuongea.
Ipo tena haina maumivu ni ya maji unaweka chini ya ulimi off you go.Hali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
Upo sahihi mkuu, kuna jamaa alinifata juz kati anasema anatafuta conn za ajira za ualimu zijazo, nilimwambia conn zipo ila kwa ajira za ualimu, watu weng wanapata by chanceMkuu pole hio situation unayopitia hata mm imewahi nikumba ila sikuwaza kabisa kujitoa uhai.
Ajira za kujuana na michongo vile vile.
Ila namshukuru MUNGU Mwaka jana nilipata ajira ya kudumu kupitia UTUMISHI DODOMA so nakushauri nako weka nia kama una uwezo utatoboa .
Ila kwa kipindi hiki kigumu kama upo dar jaribu kupeleka CV yako ASA microfinance kinondoni makaburini, Gardaworld security mikocheni, SGA SECURITY, IRon side security, Jisajilii TAESA INTERSHIP mkuu
Suluhu la kudumu la umaskini ni communal ownershipNdio maana juzi tulikaa kijiweni tunaongelea kuhusu mvua ya elnino, washikaji wakasema ije tu hata sasa hivi itugonge isombe mali zote ipeleke baharini wote tufilisike tuanze upya.
Nikawa nasema hata tufilisike tubaki bila kitu, baada ya miezi mitatu tu unga utakuwa umejitenga na maji. Masikini na umasikini wake na tajiri na utajiri wake.
Mkuu ishiHali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
Wewe ni sensei? Kuna shule huku Kigamboni inatafuta mwalimu wa kuwafundisha watoto karateHali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.