Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

Kuna kisa kimoja kinawahusu wanaume 40 wenye matatizo mazito ambao walienda kuombewa na kiongozi wa dini. Kiongozi wa dini akafanya dua/maombi akatokea malaika. Basi huyo malaika akawaambia wale watu kila mmoja aandike matatizo yake yote Yale anayo amini ndio matatizo makubwa kuliko yote. Ayaandike kwenye karatasi kisha aifunge ile karatasi halafu juu yake aandike namba ya siri. Baada ya hilo zoezi kufanyika malaika akawaambia haya sasa kila mmoja aweke karatasi yake kwenye ndoo . Wote wakaweka karatasi zao kwenye ndoo. Baada ya dakika ishirini akawaambia haya sasa chukueni hayo makaratasi yenu lakini hakikisha unachukua karatasi ambalo sio lako yani ambalo hujaliandikia password.

Zoezi likafanyika. Baada ya zoezi kufanyika yule malaika akawaambia kila mmoja asome kwa makini kilicho andikwa kwenye karatasi aliyo iokota ( maana yake ni kwamba asome matatizo ya mtu mwingine) Zoezi likafanyika.

Baada ya zoezi kufanyika yule malaika akawaambia sasa ninawapa dakika tano mfanye maamuzi kila mmoja wenu. Kwamba ubadilishane matatizo na huyo mtu ambae unasoma matatizo yake kwenye karatasi yake uliyo iokota kwamba matatizo yake yawe yako na yako yawe yake. Unaambiwa ukumbi mzima zilitokea ngumi kila mmoja anataka arejeshewe karatasi yake ili abaki na matatizo yake kuliko kubeba matatizo ya mwingine. Kila mmoja alijiona kumbe ana afadhali kubwa sana kwenye maisha.


Amini kwamba matatizo uliyo nayo ni afadhali kuliko matatizo ya mtu mwingine.

Matatizo mengi huwaga yapo kwenye mindset n.a. sio kwenye uhalisia. So don't bother to fix the problem but just fix the way you think and the problem will fix itself.

Wewe ni mkristo kuwa kama ilivyo shauriwa kwenye bible kwamba you should be a prisoner of hope..

Binafsi nimefikia kwenye realization kwamba things are not happening to us but they are happening for us

Ushauri wa ziada; watu wenye hekima na busara wanasema hakuna njia nzuri ya kukabiliana na matatizo kama to reduce ur problems in to songs. Whenever you face a problem just reduce it into a song and ur mind will release out the problem.

Wazulu walitumia technic hii during apartheid and it worked for them.

You can try it out.

May the peace of the Lord be upon you
Couldn't have said it better. Thanks
 
Mkuu kama unaamini utajiri wa mali ndo utakupa amani au furaha unayohitaji basi tatizo lako ni umasikini wa fikra, Amini kwamba kwa maisha uliyonayo yana sababu na pengine mbele yako ni bora kuliko unaowaona bora sasa.... Nakushauri umuombe sana Mungu, Pia jifunze kwa kusoma na kufuatilia story za waliofanikiwa utakutana na ambao walikuwa wabovu kuliko wewe lakini walikujakuinuka.... Ulichokikosa wewe sio utajiri wa mali bali ni fikra zako tu maana wapo wasio matajiri wa mali ila mioyo yao na akili zimewatosheleza.
 
Mkuu kama unaamini utajiri wa mali ndo utakupa amani au furaha unayohitaji basi tatizo lako ni umasikini wa fikra, Amini kwamba kwa maisha uliyonayo yana sababu na pengine mbele yako ni bora kuliko unaowaona bora sasa.... Nakushauri umuombe sana Mungu, Pia jifunze kwa kusoma na kufuatilia story za waliofanikiwa utakutana na ambao walikuwa wabovu kuliko wewe lakini walikujakuinuka.... Ulichokikosa wewe sio utajiri wa mali bali ni fikra zako tu maana wapo wasio matajiri wa mali ila mioyo yao na akili zimewatosheleza.
Binafsi hata nikipata tu uhakika wa chakula kwangu ni utajiri mkubwa sana, mambo ya kumiliki mali hiyo ni mipango ya mwenyezi Mungu lakini kubwa zaidi kwangu ni kupata uhakika hata wa chakula tu.
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Daah sometimes problems is needed for developments
 
Everything you path through its temporary usifanye permanent decision
Pata video hii fupi toka kwa Myles munroe
 

Attachments

  • 20230922_141455.jpg
    20230922_141455.jpg
    41 KB · Views: 4
Binafsi hata nikipata tu uhakika wa chakula kwangu ni utajiri mkubwa sana, mambo ya kumiliki mali hiyo ni mipango ya mwenyezi Mungu lakini kubwa zaidi kwangu ni kupata uhakika hata wa chakula tu.
Mkuu pole hio situation unayopitia hata mm imewahi nikumba ila sikuwaza kabisa kujitoa uhai.

Ajira za kujuana na michongo vile vile.

Ila namshukuru MUNGU Mwaka jana nilipata ajira ya kudumu kupitia UTUMISHI DODOMA so nakushauri nako weka nia kama una uwezo utatoboa .

Ila kwa kipindi hiki kigumu kama upo dar jaribu kupeleka CV yako ASA microfinance kinondoni makaburini, Gardaworld security mikocheni, SGA SECURITY, IRon side security, Jisajilii TAESA INTERSHIP mkuu
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Pambana boss....ila kumbuka kila mwanadamu ana kitu kinaitwa narrating self....cha msingi ni kuongeza kusahau na kupambania kile unachokiamini.....wanaokutegemea ni watu pia they do get horny sometimes....
 
Meen me I just float with the waves,nikijivunza kupunguza shobo Kwa kuwa Dunia si ya baba yangu.
 
Hajadanganya, vile tu haujamwelewa! Life begins at forty haina maana ya kuwa uanze kutafuta maisha ukiwa na miaka 40, hiyo miaka ni kuanza kuishi kwa kulingana na ulichokiwekeza au kukitafuta kwa miaka 39 nyuma!
Basi hatujamuelewa wengi.maana wengi uwa wanasuburi hyo 40 ndo kipimo Chao cha maendeleo
 
Usiishi kwa kuamini vitu ni vikubwa kuliko wewe jifunze kushukuru kwa hatua ya kuwa hai kwanza .

Kuwa mtu wa Kujitazama ndani Sana usisubiri watu wayape Maisha yako maana ila wewe ndo mtu pekee wakuyapa Maisha yako maana .


Vita ya akili, Mwili na hisia ukitaka kuishinda hakikisha unaishi zaidi katika wakati uliopo Usiwaze kuhusu Kesho na usiwaze kwa yaliyopita.

Be authentic

MAISHA ni zawadi na ili ufurahie hii zawadi hakikisha unakuwa postive na mambo yataanza kubadilika .
Siamini katika kauli ya kuwa maisha ni zawadi!
Kuna watu wana bahati mbaya sana na haya haya maisha.
Why would someone give you such a horrible gift ? Mtoto anazaliwa na type 1 diabete halafu familia ni ya mlo mmoja kwa siku, miezi sita mbele anafanyiwa leg amputation kwa sababu ya diabetic complications. Unaweza kutoa chozi!!
Kuna watu wanaweza kusema maisha ni zawadi ila kwa wengine maisha ni mateso makali.
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
io ipo iyo sema viongozi wa dunia hawatak
 
Tafuta pesa mkuu hiyo sumu ipo ila gharama yake ni kubwa mno
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Acha upumbavu na kukata tamaa. Unamsemea nani tokana na ujinga na uvivu wako. Wengi wangapi na kwa utafiti au testimonies zipi mwanangu?
 
Siamini katika kauli ya kuwa maisha ni zawadi!
Kuna watu wana bahati mbaya sana na haya haya maisha.
Why would someone give you such a horrible gift ? Mtoto anazaliwa na type 1 diabete halafu familia ni ya mlo mmoja kwa siku, miezi sita mbele anafanyiwa leg amputation kwa sababu ya diabetic complications. Unaweza kutoa chozi!!
Kuna watu wanaweza kusema maisha ni zawadi ila kwa wengine maisha ni mateso makali.


Stay optimistic 24/7 nothing last we are all travelers in this world
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
zipo ila kuzipaya ndio shida
 
Back
Top Bottom