Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

Unajua Laughing Gas ?

Nadhani tatizo sio jinsi ya kuondoka...., hio ni rahisi tatizo ni kukimbia tatizo kwa kufumba macho ukidhani linaondoka....

Umeongelea familia.., ukifa nani unamuachia hio mizigo yako (huo utakuwa ni ubinafsi) ukishakuwa na familia ambayo inakutegemea maisha sio yako ni yenu (subiri wakishafikisha over eighteen na kuwapa msingi hapo nadhani hata uamuzi huu wa ajabu ukichukuliwa utakuwa hauna effect kubwa)
 
Sema naona mwanadamu angekuwa na ile anaweza kujireset au kurudi kule tulipotoka ni wengi sana tungefanya hivyo. Watu wengi hii dunia hawaifurahii kabisa huzuni ni kubwa kuliko furaha.
A life full of misery and pockets of happiness kwa kweli. Isingekuwa uwepo wa mbususu ata mie ningekuwa nilishajitanguliza six feet under
 
Kama umri wako umezidi miaka 18 na unawaza upumbavu huu wala sina huruma na wewe, wewe jiue tu. Ukishajijua kuwa wewe ni mwanaume, hakuna siku hata moja unayotakiwa kusubiri huruma ya Mlimwengu. Huruma jionee mwenyewe kidogo then songa mbele.

Dunia haijawahi kuwa sehemu tamu kwa wanaume legevu, ikibidi ikafikia hatua ya kudhuru ili ukae panapotakiwa usijiulize mara mbili. Fanya familia yako iwe sehemu ya msingi sana katika maisha yako hata kama watakuja kukutosa mbele wewe wajibu wako kwao umeshautimiza.


Mwenye akili timamu tu ndiye atakayenielewa
 
Namshukuru Mungu sijawahi kuwaza haya hata siku moja
Lakini pia sijawahi kupitia dhiki nikalia bali huwa namuomba Mungu sana na Dua za wazazi nazikubali sana
Ndio maana mpaka leo nina chochote mwenyewe na familia bila kumtegemea binadamu isipokuwa Muumba tu

Usiangalie wenye nacho bali angalia wa chini yako
Jaribu kwenda alfajiri hospitali ya jirani ukawasalimie wagonjwa hii itakusaidia sana ukiona hali zao

Uwe na siku njema
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Pole mkuu. Ila maisha ni haya haya hakuna kukata tamaa. Kuna watu wanataabika zaidi yako still bado wanafuraha
 

Attachments

  • Screenshot_2023-08-17-16-20-08-01.jpg
    Screenshot_2023-08-17-16-20-08-01.jpg
    34.9 KB · Views: 1
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Mbona zpo nying tu wew kama uko tayar sema tukupe tu majina
 
Wee acha tu mshahara wangu wote umeisha nimebaki na buku 5tu na madeni Bado hayajaisha ila Bado najivunia kua dada kwenye familia
 
Wakati wewe unalalamika hivyo na ni Mzima wa afya na uhai,kuna wanaolishwa na mipira mahospitalini wanateseka na makansa na magonjwa ya kutisha na mbaya zaidi wengine ni watoto wadogo Hadi unajiuliza Kwanini Mungu ana acha hawa watoto wateseke kiasi hiki??lakini mwisho wa siku unamshukuru tuu kwa kuwa ndio atakavyo yeye,,anakupa mitihani ili wengine wajifunze na kila mmoja na mitihani yake,,Pambana Acha Lawama!!
 
Don't worry mkuu everything gonna be fine one day.
 
Back
Top Bottom