Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

Kuna kipindi nilitaka kujitupa kwenye maji nife mitaa ya seaview, hapo nakaa kwenye apartment kali uko seaview

Ukinicheck unaweza kusema jamaa kayapatia, ila nikukupa matatizo yangu unapasuka kichwa hapo hapo kwa kuwaza

Ila mungu mkubwa nilishinda mtihani wa kutaka kujitupa kwenye maji .kwenye korongo baharini
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Hapo pa kwanini ulizaliwa pawe fundisho kwetu tunaohamasisha kuzaa watoto wengi....baadae tunaishia kuwatesa kama ivi
 
Hata hapa ulipo unapaswa kumshukuru sana Mungu ni kwavile tu hujui
Huumwi
Hauko jela
Una sehemu ya kulala
Una uwezo wa kumiliki simu janja
Una bundle
Umekula
Na juu ya yote una nafasi ya kuwaza haya
Kuna baadhi
Leo hajui atalala wapi
Atakula nini
Hana simu hata kitochi
Ana madeni kama yote nknk.. Lakini bado ana tumainiView attachment 2791680

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu ana bando na kuscroll jf anawaza kujiua 😁😁😁😁.
Kila nikiona mirinda nyeusi hayo mawazo huwa yanapotea ghafla.
 
Shida sio kutafuta pesa.BALI HIZO NJIA ZA KUTAFUTA PESA[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
yaani tunapeana tu moyo tafuta pesa.
Ila kiukweli njia z kutafuta pesa ni ngumu.huna kazi,Huna mtaji ,Huna kibarua,Huna connection. Hizo hela unatafuta vipi?
Hiyo ni changamoto nyingine, ni muhimu sana kwa kijana kuishi kwa kuangalia fursa. Ukiwa mtu wa kuangalia fursa utazungukwa na kuwa karibu na watu watakaokusaidia kuzipata fursa.

Pia ni muhimu zaidi vijana kukubali kufanya kazi yoyote halali ili kujipatia kipato. Ajira hakuna lakini kazi zipo, ni muhimu sana kwa kijana 'kujichanganya' na watu sahihi.
 
KTioa
Hiyo ni changamoto nyingine, ni muhimu sana kwa kijana kuishi kwa kuangalia fursa. Ukiwa mtu wa kuangalia fursa utazungukwa na kuwa karibu na watu watakaokusaidia kuzipata fursa.

Pia ni muhimu zaidi vijana kukubali kufanya kazi yoyote halali ili kujipatia kipato. Ajira hakuna lakini kazi zipo, ni muhimu sana kwa kijana 'kujichanganya' na watu sahih

Hiyo ni changamoto nyingine, ni muhimu sana kwa kijana kuishi kwa kuangalia fursa. Ukiwa mtu wa kuangalia fursa utazungukwa na kuwa karibu na watu watakaokusaidia kuzipata fursa.

Pia ni muhimu zaidi vijana kukubali kufanya kazi yoyote halali ili kujipatia kipato. Ajira hakuna lakini kazi zipo, ni muhimu sana kwa kijana 'kujichanganya' na watu sahihi.
Mimi ni kijana ambae sichagui kazi pamoja na kwamba nimesoma na sina ajira kwasasa.Nishawahi hadi kusaidia mafundi ujenzi kwa kubeba tofali na kufanya kazi ambazo kwa vijana wa sasa wanaomaliza vyuo huwezi kuwashauri wafanye, yote ni kwasababu nina majukum hivyo sipaswi kuchagua kazi ilimradi tu iwe halali.
 
Book: Feeling Is the Secret
Author: Neville Goddard

Hakika ukisoma hichi kitabu na ukayatekeleza yale yalioandika hakika utaweka historia mpya katika maisha yako... Maarifa ndio kila kitu katika hii dunia
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Dah! [emoji848]
 
Hata hao matajiri wana stress za madeni,kodi, mikopo nk. Mtu anatembelea V8 lakini anakunywa dawa za pressure,sukari na usingizi everyday ili aweze kuendelea kubaki hai. Kikombe unacho kinywea muombe Mungu tu kisiwe kichungu au chamoto kupitiliza .
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Daah!! Pole sana Mkuu! Sina cha kuongea hapo! Mungu asikie hitaji la Moyo wako
 
Aliyesema life begins at 40 alitudanganya[emoji1][emoji1][emoji1]
Hajadanganya, vile tu haujamwelewa! Life begins at forty haina maana ya kuwa uanze kutafuta maisha ukiwa na miaka 40, hiyo miaka ni kuanza kuishi kwa kulingana na ulichokiwekeza au kukitafuta kwa miaka 39 nyuma!
 
Hali ya maisha ni ngumu sana

Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi

Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani

Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana

Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu

Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha

Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.

Anyway acha niishie hapa.
Tukuchangie pesa Kwa namba ipi?
 
Back
Top Bottom