albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
Jitihada za pamoja zinamaliza kunguni wote.... Nia ajabu wewe kuja kulalamika humu....
1.Siamini kama Kuta za udom zinaweza kutunza kunguni unless mseme chuo kina Hali mbaya Kwa sasa.
2. Kama namba Moja Iko sawa basi mnateswa na mnapolala Yani vitanda na magodoro.
3. Kama ni namba mbili basi jitihada za pamoja zinamaliza tatizo kabisa tieni hasara chuo kwenye umeme.
Mwaka 2017 au 18 makuyuni boys ARUSHA ilibadilishwa na kuwa kambi ya JKT so baadhi tulitolewa kambi fulanifulani kwenda kuandaa mazingira pale... Ebwanaaaa kulikua na KUNGUNI kuliko mchanga nje ya mabweni (mahanga) walipuliza dawa zaidi ya mara 3 hapakua na mabadiliko yoyote...
UNTIL TULIPOAMUA KUPAMBANA WENYEWE
1. Kuta zilipigwa plaster rough baadhi hazikupigwa kabisa hivyo kuwa maficho ya kunguni
2. Bomba za vitanda zilijaa kunguni Yani ukigonga chini unajaza sahani
3. Magodoro yalikua yamechakaa na hivyo kuwa maficho ya kunguni.
KAMPENI IKAANZA.
1. Tulisafisha Kuta zote Kwa sabuni kama tunafua nguo Kwa wiki mbili mfukukizo tukafumua dari (boards) zote tukachoma
2. Yaliandaliwa mapipa ya maji moto na muda wote yalikua namaji.
3. Kila asubuhi Kila mtu atatoa godoro na kulianika kwenye Jua Kali na utaligeuza mara kadhaa Kwa siku
4. Usimuache kunguni popote na hakikisha huna mazalia kwenye kitanda chako (mayai) Kwa hapo chuo hii ni rahisi sana mkiamua.
5. Kila juma mosi na jumapili Kwa wakati wako ilibidi kuchoma moto vitanda na kuvimwagia maji ya moto. Vitanda vya mbao vyote tulivifanya Kuni, kumaliza kunguni kwenye mbao ni KAZI sana
Tulifanikiwa kuwamaliza Kwa zaidi ya 99.5% Kwa muda WA miezi miwili tu.
Jitihada za pamoja ni suluhisho na sio kulalamika Jf. Na kama unajiandaa kuja KUPAMBANA mtaani hiyo ni CHANGAMOTO ndogo kuliko tulizonazo huku kitaaa.
1.Siamini kama Kuta za udom zinaweza kutunza kunguni unless mseme chuo kina Hali mbaya Kwa sasa.
2. Kama namba Moja Iko sawa basi mnateswa na mnapolala Yani vitanda na magodoro.
3. Kama ni namba mbili basi jitihada za pamoja zinamaliza tatizo kabisa tieni hasara chuo kwenye umeme.
Mwaka 2017 au 18 makuyuni boys ARUSHA ilibadilishwa na kuwa kambi ya JKT so baadhi tulitolewa kambi fulanifulani kwenda kuandaa mazingira pale... Ebwanaaaa kulikua na KUNGUNI kuliko mchanga nje ya mabweni (mahanga) walipuliza dawa zaidi ya mara 3 hapakua na mabadiliko yoyote...
UNTIL TULIPOAMUA KUPAMBANA WENYEWE
1. Kuta zilipigwa plaster rough baadhi hazikupigwa kabisa hivyo kuwa maficho ya kunguni
2. Bomba za vitanda zilijaa kunguni Yani ukigonga chini unajaza sahani
3. Magodoro yalikua yamechakaa na hivyo kuwa maficho ya kunguni.
KAMPENI IKAANZA.
1. Tulisafisha Kuta zote Kwa sabuni kama tunafua nguo Kwa wiki mbili mfukukizo tukafumua dari (boards) zote tukachoma
2. Yaliandaliwa mapipa ya maji moto na muda wote yalikua namaji.
3. Kila asubuhi Kila mtu atatoa godoro na kulianika kwenye Jua Kali na utaligeuza mara kadhaa Kwa siku
4. Usimuache kunguni popote na hakikisha huna mazalia kwenye kitanda chako (mayai) Kwa hapo chuo hii ni rahisi sana mkiamua.
5. Kila juma mosi na jumapili Kwa wakati wako ilibidi kuchoma moto vitanda na kuvimwagia maji ya moto. Vitanda vya mbao vyote tulivifanya Kuni, kumaliza kunguni kwenye mbao ni KAZI sana
Tulifanikiwa kuwamaliza Kwa zaidi ya 99.5% Kwa muda WA miezi miwili tu.
Jitihada za pamoja ni suluhisho na sio kulalamika Jf. Na kama unajiandaa kuja KUPAMBANA mtaani hiyo ni CHANGAMOTO ndogo kuliko tulizonazo huku kitaaa.