Like niliokupatia ni kwasababu ya historia hio lakini sio hitimisho ulilofanya kuhusu vijana.kijana kunguni tu unakuja kulalamika JF [emoji1745]sisi ndio waanzilishi(intake ya kwanza ya Masters)hapo UDOM,tulikuwa tunakaa Ng'ong'ona kule Block S 2008/2009 na tunasomea Social,kipindi barabara ya kutoka kule ni vumbi na makorongo kama yote,Daladala ikienda Mjini inabidi muisuburi mpaka irudi tena au mtembee kwa miguu mpaka Social kuhudhuria PINDI,sasa kijana mayaimayai unalalamika Kunguni JF duuh,si ni suala la kuchangishana tu wana-chumba na kununua dawa!!vijana wa siku hizi lainilaini sana
Hakuna kunguni atakufa hapo.Acha kudeka,
Chukua heater, chemsha maji mengi ya moto, osha hivyo vitanda kwa maji moto kila kona,
Chukua godoro lako, kung'uta vizuri kabisa, toa folonya ulifue, fua mashuka yako then pasi kwa moto mkali,
You are good to go,
Short cut, nunua dawa za kuua wadudu, pulizieni humo ndani, hazizidi buku 5, kwa watu wanne ni 1250 each,
Tuache kulalamikia vitu vidogo tunavyoweza solve wenyewe, sisi sio toddlers bana
Hilo unalosema ni rahisi kufanya nyumbani kwako,kwa maeneo ya public kama chuoni n.k ili utokomeze kunguni inatakiwa eneo lote lifanyiwe fumigation,ukifanya wewe peke yako basi uamue hakuna mtu kukalia kitanda chako na wewe usikae kwenye vitanda vya wenzio,vinginevyo utapiga dawa mwaka mzima na kunguni hawataisha...Acha kudeka,
Chukua heater, chemsha maji mengi ya moto, osha hivyo vitanda kwa maji moto kila kona,
Chukua godoro lako, kung'uta vizuri kabisa, toa folonya ulifue, fua mashuka yako then pasi kwa moto mkali,
You are good to go,
Short cut, nunua dawa za kuua wadudu, pulizieni humo ndani, hazizidi buku 5, kwa watu wanne ni 1250 each,
Tuache kulalamikia vitu vidogo tunavyoweza solve wenyewe, sisi sio toddlers bana
Hapana.Institution ina responsibility ya kuhakikisha wakazi kwenye nyumba zake wanaishi confortably How,ndio wajipange sasa na vikanuni,elimu nkMambo mengine ni kuchoshana tu. Hao kunguni mmewaleta wenyewe kutoka majumbani kwenu, halafu mnakuja kuusumbua uongozi wa chuo kuwatokomeza!!
Yaani watu wanapambania elimu yenu, wanapambania usalama wenu hapo chuo! Bado mbawabebesha tena mzigo wa kupambana dhidi ya kunguni, mliokuja nao kutoka majumbani kwenu!!
Kama vipi jichangisheni ili mpate dawa ya kuwaua. Inauzwa shilingi elfu 6 tu.
VC anajua hilo?Sina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera kwa muda mrefu.
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.
Kunguni hao wanapatikana kwenye mabweni tunapolala, mfano kwenye college ya Education ndio balaa.
Siku za nyuma uongozi wa chuo ulikuwa na kawaida ya kupuliza dawa kwenye mabweni, lakini ndani ya miaka hii miwili hali imekuwa tofauti.
Tulipofunga Chuo Juni na Julai 2023 tulitegemea tukirudi tutakuta wamepuliza dawa lakini hali imekuwa tofauti, matokeo yake watu tumeanza kulazimika kutandika na kulala chini kwani vitandani hakulaliki.
Changamoto hii sio kwenye college yetu pekee bali karibia zote Wanafunzi tumekuwa tukilalamika kunguni.
Majibu ya UDOM yako hapa: Uongozi wa UDOM wajibu madai ya kuwepo kunguni kwenye mabweni ya Wanafunzi
Kama wazungu wanateseka na kunguni sisi ni nani๐๐Sina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera kwa muda mrefu.
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.
Kunguni hao wanapatikana kwenye mabweni tunapolala, mfano kwenye college ya Education ndio balaa.
Siku za nyuma uongozi wa chuo ulikuwa na kawaida ya kupuliza dawa kwenye mabweni, lakini ndani ya miaka hii miwili hali imekuwa tofauti.
Tulipofunga Chuo Juni na Julai 2023 tulitegemea tukirudi tutakuta wamepuliza dawa lakini hali imekuwa tofauti, matokeo yake watu tumeanza kulazimika kutandika na kulala chini kwani vitandani hakulaliki.
Changamoto hii sio kwenye college yetu pekee bali karibia zote Wanafunzi tumekuwa tukilalamika kunguni.
Majibu ya UDOM yako hapa: Uongozi wa UDOM wajibu madai ya kuwepo kunguni kwenye mabweni ya Wanafunzi
Maafisa ufugaji kunguni๐คฃ๐คฃ๐คฃKunguni wa bongo ni himilivu. Kuna siku wameniparamia pale block G kunguni kama hamsini hivi wale wadogo wadogo halafu nikakuta wao wafugaji wameshawazoea wala hawaguswi.
Kuna kale kajamaa feki kanajiita Sheikh Kishiki au Kisiki, majuzi alikuwa anakashifu shule za Wafaransa kuwa na kunguni na kuwa Mungu ndiyo aliwatumia hao kunguni, sisi je hapa Dom ni Mungu ndiye aliyefanya hivi kwetu na kwanini?Sina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera kwa muda mrefu.
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.
Kunguni hao wanapatikana kwenye mabweni tunapolala, mfano kwenye college ya Education ndio balaa.
Siku za nyuma uongozi wa chuo ulikuwa na kawaida ya kupuliza dawa kwenye mabweni, lakini ndani ya miaka hii miwili hali imekuwa tofauti.
Tulipofunga Chuo Juni na Julai 2023 tulitegemea tukirudi tutakuta wamepuliza dawa lakini hali imekuwa tofauti, matokeo yake watu tumeanza kulazimika kutandika na kulala chini kwani vitandani hakulaliki.
Changamoto hii sio kwenye college yetu pekee bali karibia zote Wanafunzi tumekuwa tukilalamika kunguni.
Majibu ya UDOM yako hapa: Uongozi wa UDOM wajibu madai ya kuwepo kunguni kwenye mabweni ya Wanafunzi