GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
Achana na deodorant ndgu yng mdgo wng alikuwa na tatizo hilo lkn kilichomsaidia ukoko Wa ugali wakishatoa ugal kwenye sufuria chukua ile sufuria loweka kdgo ili ule ukoko ulainike, then chukua ule ukoko sugulia kwenye kwapa kwa muda Wa cku5 njoo hapa utoe mrejesho mkuu yaani ukoko ni dawa kabisaaaa.