Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Under arm pads zinasaidia sana jasho linatoka linaishia kwenye pads na hivyo haliroeshi nguo, ili kuzuia harufu mbaya ya kwapa chukua kipande cha ndimu au limao tia chumvi kdg sugua kwapa then acha kwa dk kdg kisha oga pakaa deodorant Yako.
 
Tupatie kapicha tuione
0c8afa9354175869420c6b7d2d801cce.jpg
 
Chukua limao paka chapa maandashi au bicarbonate powder sugua kwapani siku 2 tu jasho linakata. Usithubutu kupaka mideodorants. We sugua kwapa then oga spray kama kawaida but usispray makwapa.
 
SSHUKURANI sana MKUUQUOTE="LIKE Niku ADD, post: 23398985, member: 235883"]Pharmacy kubwa kubwa wanazo mfano JD Pharmacy.. kesho wacheki waulizie kama mzigo upo.

+255 22 550 0549

+255 22 213 0190

+255 22 260 2823
[/QUOTE]
SHUKURANI SANA MKUU
 
MATIBABU YA HARUFU MBAYA YA JASHO/MWILI NA KUTOKWA NA JASHO JINGI

Kutokwa na jasho ni kitendo chema kwa afya na mwili hufanya kwa makusudi mazuri kabisa. Kutokwa jasho kunasaidia mambo yafuatayo
  1. Kusaidia kupunguza joto na kupoza mwili
  2. Kusaidia kutoa takataka kutoka mwilini pamoja na maji ya ziada
Hizo ndio sababu baada ya kutokwa na jasho unajihisi mwili kupoa au hata baridi. Pia jasho lina ladha ya chumvichumvi na uchungu, hiyo inatokana na hizo takataka ilizozibeba.
Kwenye kutoka jasho huko kunaweza kukawa na matatizo kidogo hususan kwenye upande wa kiasi na harufu.

SABABU ZA MATATIZO HAYO
Kutokwa na jasho jingi kunaweza kusababishwa na kazi au shughuli anazofanya mtu, aina za vyakula (vyakula vyenye viungo vingi au mafuta mengi nk), magonjwa (mfano mmoja kifuakikuu) na msongo (stress)

Harufu mbaya ya jasho/mwili huweza kusababishwa na uchafu unaotoka na jasho hilo, uchafu wa makwapani pamoja na maambukizi ya vijidudu (bakteria) katika ngozi

MATIBABU YAKE
Kama tunavyosema mara kwa mara, njia nzuri zaidi ya kutibu tatizo ni kujua chanzo chake kisha kuanzia hapo na kuondoa kabisa tatizo hili.
  1. Kama ni ugonjwa au maambukizi ya vijidudu vya magonjwa basi ni vyema kupata matibabu mazuri ya magonjwa hayo na kisha tatizo hili litaondoka kwa urahisi tu
  2. Kama ni uchafu ni vyema kujisafisha mara kwa mara kwa kunyoa na kuoga vizuri kwa sabuni inayosaidia kuondoa uchafu vizuri na vijidudu vya magonjwa. Sabuni zenye dawa kama vile Protex (Aina zote), Dettol (Aina zote), Rungu, Family Medicated Soap nk
  3. Kwa tatizo la jasho jingi unaweza kutumia Antiperspirant na itakusaidia sana. Hiki ni kipodozi maalum kabisa kwa ajili ya kupunguza au kuzuia jasho kutoka. Hupatikana famasi, maduka ya vipodozi na supermarkets
  4. Kwa tatizo la harufu mbaya ya jasho/mwili unaweza kutumia Deodorant na itakusaidia sana. Hiki ni kipodozi maalum kabisa kwa ajili ya kupunguza au kuzuia kabisa harufu mbaya. Hupatikana famasi, maduka ya vipodozi na supermarkets
    deodorant.jpg
Oga vizuri na safisha makwapa yote kwa sabuni yenye dawa, hakikisha makwapa yote hayana nywele kubwa na kisha tumia deodorant (kama tatizo ni harufu mbaya) au antiperspirant (kama tatizo ni jasho jingi).
Antiperspirant and deodorant, naona hapa ndipo tunapokosea. Hatujui tununue ipi.
 
Nina tatizo la kutoa harufu kali ya kikwapani hadi nakosa kujiamini, nimejaribu kujisafisha kwa ndimu mara kwa mara bila mafanikio. Hata nikitoka kuoga nikitembea dk 3 tu natoka jasho kidogo tu ambalo haligusi ata nguo ingawa linakuwa na harufu kali.
 
The same to me nimejaribu kila namna, holla sasa nimekubali matokeo tu. Ni mwendo wa deodorant ingawa bado ni tatizo.
 
Back
Top Bottom