Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
kuna bodaboda inaitwa jinyee anunue iyoNunua deathrace mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna bodaboda inaitwa jinyee anunue iyoNunua deathrace mkuu
1. 4mMtaji wako ni Tsh ngapi?
Fear is an IllusionChimba kaburi mapema ukinunua boda
Siku hizi zinashindana na malaria kufanya mauwajikuna bodaboda inaitwa jinyee anunue iyo
noma sanaSiku hizi zinashindana na malaria kufanya mauwaji
Vip kuhusu changamotoNashauri u-opt kufanya biashara ya Saluni
Kwanini? Ni less risky
Hata hivyo inaweza kukuzalishia zaidi ya milioni 2.4 Kwa Mwaka Kwa kuweka malengo ya shilingi 50,000 Kwa wiki na shilingi 200,000 Kwa Mwezi.
Hiyo ni Kwa Saluni local (zenye hadhi ya chini)
Changamoto za biashara ipi?Vip kuhusu changamoto
SaloonChangamoto za biashara ipi?
Stress kwa vip? Ufafanuzi mkuuKama hautaki stress nenda kwenye saloon nakwambia hv kwasababu nna uzoefu na vyote mkuu saloon ya kawaid na boda pia nna uzoefu
Risk ni chache, mathalani ya kukimbiwa na Vinyozi japo unaweza kuidhibiti Kwa kuwapatia mikataba ya kazi.Saloon
Risk nikimaanisha bodaboda ndio chombo cha moto kinaongoza kupata ajali, kwaiyo unaweza pata kilema cha ujanani ukapunguza kasi ya kupambana au inaweza kukudedisha kabisa wakati wewe ndio engine namba moja kwenye utafutaji.Risk kwa vip boss
Asante mkuuRisk nikimaanisha bodaboda ndio chombo cha moto kinaongoza kupata ajali, kwaiyo unaweza pata kilema cha ujanani ukapunguza kasi ya kupambana au inaweza kukudedisha kabisa wakati wewe ndio engine namba moja kwenye utafutaji.
kuepuka hiyo risk ni bora ufanye biashara yako namba mbili ambayo ni saloon.
Location nzuri inaweza ikawa maeneo gani hasaSalon yenye viwango beo haifanani na boda! ukipata location nzuri Salon inalipa.
HahahRisk ni chache, mathalani ya kukimbiwa na Vinyozi japo unaweza kuidhibiti Kwa kuwapatia mikataba ha kazi.
Ukiweza kuajiri Vinyozi wawili ama watatu Kwa Saluni local, halafu Kila mmoja ukampa lengo la shilingi 40,000 Kwa wiki
Hata Mama Samia acheleweshe mshahara Kwa miezi 6 huwezi Kulia Lia njaa hata kidogo