Ile diesel machine mkuu watu hawawazi kuhusu consumption maana ni gari ya kazi.Average fuel consumption ya hyo fuso inaweza ikawaje? Sijawahi sikia watu wa fuso wakilia lia kuhusu mafuta. Au tuconclude fuel consumption haiko kwenye ukubwa wa cc?
Bei majanga mkuu hapo bado ushuru mkuuHuyu mdudu ana CC 2000.
Ila top speed ni 270 kph
0 - 100km inakupa 6 seconds.
CC sio kigezo pekee cha kukupa acceletation unaoifikiria.
Kuna Mini Cooper ina CC haizidi 2000 ila balaa lake LC 200 yenye CC 4000 atasubiri miaka 100.View attachment 1630204
MmhKuna moto mwengine kutoka Toyota. Hii ni one of the best Hot hatches kwa sasa, Toyota GR Yaris 1.6L 3cylinder yenye AWD system capable of 274hp making 0-100km in 5 secs.
View attachment 1630217
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] katika gari zenye engine ndogo nilizonazo ni altezza cc 2000
Ipo mpaka ya cc 32000Hivi kuna gari ya cc 8000
Watu walikua hawaamini hako ka vitz kwny drag race kamemburuza Golf gti kama mtoto,watu wanabaki wametoa macho tu.Kuna moto mwengine kutoka Toyota. Hii ni one of the best Hot hatches kwa sasa, Toyota GR Yaris 1.6L 3cylinder yenye AWD system capable of 274hp making 0-100km in 5 secs.
View attachment 1630217
Watakuja kubishana hapa, huo ni moto mwengine mzee! πππWatu walikua hawaamini hako ka vitz kwny drag race kamemburuza Golf gti kama mtoto,watu wanabaki wametoa macho tu.
Kama mie vile huvutiwa na churaWhat if mtu anavutiwa na body?
Na uzuri wa ndani?
Watu wanakariri CC ndo ubabe barabarani.Kuna moto mwengine kutoka Toyota. Hii ni one of the best Hot hatches kwa sasa, Toyota GR Yaris 1.6L 3cylinder yenye AWD system capable of 274hp making 0-100km in 5 secs.
View attachment 1630217
Ulitaka gari ya 2019 iuzwe bei gani?
Hahah watajua hawajui mzee baba.Watakuja kubishana hapa, huo ni moto mwengine mzee! πππ
Hahahah sahizi ni mwendo wa Turbochargers tu. Engine piston 3 ila inasepa kuliko naturally aspirated V engine.Watu wanakariri CC ndo ubabe barabarani.
Hahahah Jamaa wameona bora waende sambamba na wajerumani a.k.a wazee wa kujaza ma turbo/supercharger.Hahahah sahizi ni mwendo wa Turbochargers tu. Engine piston 3 ila inasepa kuliko naturally aspirated V engine.
Kwa magari makubwa kama mabasi, maroli yanaenda cc zaidi hizi 8000Hivi kuna gari ya cc 8000
Dharau zilizidi wameona wawastue kidogo wapinzani wa jadi. Aisee ile kitu inasepa mangi. Ntakuwekea clip uone balaaHahahah Jamaa wameona bora waende sambamba na wajerumani a.k.a wazee wa kujaza ma turbo/supercharger.
Hahahah mnama hebu tumia hio mambo aisee,nione kanavyoachia watu manyoya.Dharau zilizidi wameona wawastue kidogo wapinzani wa jadi. Aisee ile kitu inasepa mangi. Ntakuwekea clip uone balaa