Huku sada ni kupangiana maisha. Ukienda baharini, tafadhali ogelea kwenye kina unachomudu.Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.
Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye 2,000cc.
Kuna balaa la Volvo models za T6 na T8, gari ni hybrid, halafu ni turbocharged and supercharged kwa pamoja, CC 2000 tuHahahah Jamaa wameona bora waende sambamba na wajerumani a.k.a wazee wa kujaza ma turbo/supercharger.
Kuna Ford Puma, nayo ina piston 3 na CC 1000 imewekwa Turbo Charger pia.Hahahah sahizi ni mwendo wa Turbochargers tu. Engine piston 3 ila inasepa kuliko naturally aspirated V engine.
Ila magari ya Volvo ni gharama aisee.Kuna balaa la Volvo models za T6 na T8, gari ni hybrid, halafu ni turbocharged and supercharged kwa pamoja, CC 2000 tu
View attachment 1630673
Soma hapa: https://drivetribe.com/p/volvos-eng...uNx8TmeRKKsO-MsCgQ?iid=b7sHQLczRPaFH-CSmUpb2A
Inategemea unazungumzia engine ya tech ipi? Diesel au petrol,Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.
Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye 2,000cc.
Gharama ukilinganisha na Toyota ama na kina BMW, Mercedes, Audi, VW n.k.?Ila magari ya Volvo ni gharama aisee.
Kuyanunua na kumantain.
Inaweza kuzidi hata kina benz.Gharama ukilinganisha na Toyota ama na kina BMW, Mercedes, Audi, VW n.k.?
Japan for life...no stressInaweza kuzidi hata kina benz.
Siyo kweli.Inaweza kuzidi hata kina benz.
Hahah daah aisee noma sana hio ni mtu 3 ndani ya track 1(electric,turbocharged,supercharged),wale wazee wa kuangalia gari ina cc ngapi bila kuangalia tech iliyotumika hapo lazima waaibike tu.Kuna balaa la Volvo models za T6 na T8, gari ni hybrid, halafu ni turbocharged and supercharged kwa pamoja, CC 2000 tu
View attachment 1630673
Soma hapa: https://drivetribe.com/p/volvos-eng...uNx8TmeRKKsO-MsCgQ?iid=b7sHQLczRPaFH-CSmUpb2A
Altezza 3S-GE tu mziki wake si mchezo..mnyama anaita hatari...Mkuu omba upate hela usiwe na hela za mawazo,kuna watu wanafanya modification gari ibugie mafuta haswa yani sijui kuna maneno yakitaalamu wanasema gari inafanyiwa inakua inabugia mafuta na inakua na nguvu na inakimbia kweli kweli.
wanaofanya huo ujinga wapo kwenye teamtezza hii team wote wanatumia altezza humo ndio kuna wana wanamichezo hiyo magari yao yanafyonza haswaaa gusa link ukaone maajabu yao Login • Instagram
Weka TECHNICAL REASONS za argument yako..!!! Ulichokiandika ni sawa na mimi nianzishe thread inayosema wewe ni siyo mtu bali ni nyoka...!!! Kama sijaweka facts za ninachokisema, basi unakuwa uzushi tu na uwongoHutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.
Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye 2,000cc.
Dah..mkuu hapo unazungumzia gari ya kufanyia nini? Ya kupigia misele town au ya kwenda nayo Dodoma? 🤭 🤭😀Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.
Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye 2,000cc.
Hivi kuna gari ya cc 8000