Kununua gari yenye 2,000cc ni kupoteza hela!

Kununua gari yenye 2,000cc ni kupoteza hela!

Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.

Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye 2,000cc.
Huku sada ni kupangiana maisha. Ukienda baharini, tafadhali ogelea kwenye kina unachomudu.
 
Hahahah Jamaa wameona bora waende sambamba na wajerumani a.k.a wazee wa kujaza ma turbo/supercharger.
Kuna balaa la Volvo models za T6 na T8, gari ni hybrid, halafu ni turbocharged and supercharged kwa pamoja, CC 2000 tu

1605868707523.png


Soma hapa: https://drivetribe.com/p/volvos-eng...uNx8TmeRKKsO-MsCgQ?iid=b7sHQLczRPaFH-CSmUpb2A
 
Hahahah sahizi ni mwendo wa Turbochargers tu. Engine piston 3 ila inasepa kuliko naturally aspirated V engine.
Kuna Ford Puma, nayo ina piston 3 na CC 1000 imewekwa Turbo Charger pia.
 
Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.

Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye 2,000cc.
Inategemea unazungumzia engine ya tech ipi? Diesel au petrol,
Volkswagen Amarok option ya 2000cc turbo diesel, unapata vyote economy na speed .
 
Inaweza kuzidi hata kina benz.
Siyo kweli.

Angalia Volvo S90 na linganisha na Mercedes E Class, BMW 5 series na Audi A6. Kisha angalia Volvo XC60 linganisha na Mercedes GLC, Audi Q5 na BMW X3. Malizia na Volvo XC90 linganisha na Mercedes GLE, Audi Q7 na BMW X5.

Volvo zipo nafuu sana kuliko hizo zingine!
 
Mkuu omba upate hela usiwe na hela za mawazo,kuna watu wanafanya modification gari ibugie mafuta haswa yani sijui kuna maneno yakitaalamu wanasema gari inafanyiwa inakua inabugia mafuta na inakua na nguvu na inakimbia kweli kweli.

wanaofanya huo ujinga wapo kwenye teamtezza hii team wote wanatumia altezza humo ndio kuna wana wanamichezo hiyo magari yao yanafyonza haswaaa gusa link ukaone maajabu yao Login • Instagram
Altezza 3S-GE tu mziki wake si mchezo..mnyama anaita hatari...
 
Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.

Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye 2,000cc.
Weka TECHNICAL REASONS za argument yako..!!! Ulichokiandika ni sawa na mimi nianzishe thread inayosema wewe ni siyo mtu bali ni nyoka...!!! Kama sijaweka facts za ninachokisema, basi unakuwa uzushi tu na uwongo
 
Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy.

Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye 2,000cc.
Dah..mkuu hapo unazungumzia gari ya kufanyia nini? Ya kupigia misele town au ya kwenda nayo Dodoma? 🤭 🤭😀
 
Sema huna pesa ya kuihudumia acha wenye pesa watumie hivyo vyuma.

Usilazimishe kununua kitu kama huna uwezo wa kukihudumia na matengenezo pindi ikipata shida
 
Usione uvivu kutafuta hela ili tukuite mzalendo
Tafuta hela ,panua mawazo zaidi
Tafuta hela zaidi
 
Unanunua gari lenye CC 3,000 na speed 240KPH alafu barabarani ulazimishwa kutembea maximum 80KPH?
 
Back
Top Bottom