Hisa sio kamari kama misingi ya biashara na uwekezaji inazingatiwa. Kikubwa hapa ni matamko yenye kuathiri biashara za watu tofauti na kwingineko ambako biashara zinaathiriwa na sababu za kibiashara na si siasa.
Utanunua hisa za kampuni ya simu ikiwa kuna kampuni moja pinzani inapigiwa upatu na mamlaka kukamata soko?
Utanunua hisa za kampuni ya cement ikiwa kuna kampuni mojawapo pinzani inawekewa mazingira pendelezi ya kuwezesha uzalishaji kwa unafuu zaidi ya kampuni nyingine?
Utanunua hisa za benki ya kilimo na maendeleo vijijini ikiwa tayari mamlaka zinapendekeza amana ziwekwe kwenye benki nyingine pinzani?
Shida hapa sio BUSINESS TREND, shida ni POLITICAL FLAMES