Kununua malaya kulitaka kunitoa roho DR Congo

Sasa kama ulitengeneza muungano na jambazi ulitegemea nini?
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa anasema hata ukifanya kazi ya kuua watu washamba, hutawamaliza. Dunia ya leo unaibiwa fedha na changudoa nyumba ya kulala? Ulidhani umeoa? Huu wizi hata wasukuma hawafanyiwi tena.
 
Nilimuamini kaka
Pole kaka. Nadhani wewe bado ni mchanga kwenye haya mambo. Kanuni ya kwanza ya kulala na changu nyumba ya wageni ni kuficha kila kilicho cha thamani. Pia hakikisha mlango unafunga wewe na kuficha ufunguo sehemu asiyoona. Hili fanya hata kama umempeleka kwenye nyumba yako kwa sababu kuna wengine wanakulia timing na ukilala wanachukuwa vitu na kukimbia. Au anakuwa na kikosi cha majambazi ambao wanakuja kumsadia...
 
Kabisa asante kwa elimu
 
Kwa maelezo yako inaonesha malaya huyo alikuwa na tabia ya wizi ndo maana pesa zako ukazikuta hazipo.
Swala la kuthibitisha uchawi wake sijaliona katika maelezo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…