Kununua shati Kariakoo kidogo nigeuzwe mwizi

Daaah pole sana mkuu.Nakumbuka kuna mtaa huwaga napitapita sana na sometimes huwaga nafanya miamala sasa ile sehemu nje kabisa kwa pembeni kuna dada mkubwa tu hivi amekaa kwa nje yule dada ni chizi lakini anapata huduma zote za milo mitatu na amenona kweli basi bwana pale watu hawakauki watu huw wanajaa sana kupata huduma.
Ile kariakoo acha bhana sema mkuu unaonekana uko vizuri mpaka umeshuhudia ilo tukio kikawaida usingeweza kuona.
 
Huna jipya ukiambiwa toka mara moja toka usitafute ujuaji kwenye mambo ya watu.
 
Mimi na wewe nani hana jipya!

Sina jipya wakati unakuja kusoma nyuzi zangu,wewe ni tahira,zwazwa,punguani na zumbukuku
Kipya sio nyuzi yako hii inaweza ikawa chai kama chai zingine naona umeota kiburi skuhizi dogo ila huna jipya kwenye biashara ya mtu akikufukuza huna haja ya kubisha mara mbili upo town ila mshamba stuka dogo janja
 
Kipya sio nyuzi yako hii inaweza ikawa chai kama chai zingine naona umeota kiburi skuhizi dogo ila huna jipya kwenye biashara ya mtu akikufukuza huna haja ya kubisha mara mbili upo town ila mshamba stuka dogo janja
HUNA AKILI
 
Hahahhaha et bonge la kofi la kichwani🤣🤣,any way ungenishtua👇👇👇

Karibu kwa Lewis MVincent upate huduma zifuatazo kila siku:

📌Nakununulia,nakufungia na kukusafirishia bidhaa kutoka kariakoo kwenda mitaa yote ndani ya Dar es salaam na mikoa yote Tanzania.Huduma hii unaipata kwa tsh 10000/= tu.

📌Nakutafutia bidhaa pamoja na bei zake za jumla na reja reja ndani ya soko la kariakoo.Huduma hii unaipata kwa tsh 2000/= tu.

📌Nakutafutia basi au lori zuri pamoja na gharama zao kwaajili ya kusafirisha bidhaa zako kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania kwa uharaka na usalama zaidi.Huduma hii unaipata kwa tsh 5000/= tu.

AGIZA BIDHAA KAMA:
-Simu aina zote
-vifaa vya simu aina zote mfano: chaji,covers,protectors.
-Vifaa vyote vya kieletronic kama TV,SABUFA,SPEAKER,FRIJI,HEATER nk
-Vyombo vya ndani aina zote
-Nguo za kiume za watu wazima aina zote
-Nguo za kike za watu wazima aina zote
-Nguo za watoto aina zote
-Nguo za ndani aina zote mfano chupi,sidiria,boksa nk
-Urembo aina zote kama heleni,bangiri,kacha,saa nk
-Vipodozi na mawigi
-Vifaa vya stationary aina zote.
-Vifaa vya ushonaji aina zote kama cherehani,vitambaa,vitenge,sindano,nyuzi nk
-Material ya furniture aina zote.
-Vijora
-Mitumba aina zote
-CD na Movies kwa wale ote wenye library
-Hardware na Vifaa aina zote vya ujenzi.
-Spea za pikipiki na bajaji
-Baiskeli aina zote
-Betri na matairi aina zote
-Mashine za bekari
-Vifaa na material ya keki aina zote.
-Mapazia na mashuka aina zote.
-Mabegi,pochi na mikoba aina zote
-Viatu aina zote
-Na bidhaa zinginezo ambazo sijataja hapa.

MAWASILIANO: 0745645035 (PIGA/SMS/WHATSAPP).

KARIBU SANA KWA HUDUMA BORA NA ZA UHAKIKA KILA SIKU MASAA 24.

UAMINIFU NI MTAJI,OKOA MUDA NA GHARAMA ZA NAULI KWA KUNIAGIZA MIMI BIDHAA AINA ZOTE KUTOKA KARIAKOO KWENDA MITAA YOTE NDANI YA DAR ES SALAAM NA MIKOA YOTE TANZANIA KILA SIKU.
 
Kipya sio nyuzi yako hii inaweza ikawa chai kama chai zingine naona umeota kiburi skuhizi dogo ila huna jipya kwenye biashara ya mtu akikufukuza huna haja ya kubisha mara mbili upo town ila mshamba stuka dogo janja
Bila Shaka ww Ni mshirikina mzuru tu washirikina wanajitetea sna kuwa hkn ushirikina kumbe Ni mamaster . umughak atakuja kukuwekeaa dole la Kati kwenye marinda yako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…